Tanawatakia kila la kheri wanafunzi wa Sekondari wanaofanya mitihani kumaliza kidato cha nne kuanzia leo nchini kote, kumaliza kidato cha nne ni mwanzo tu wa safari ndefu ya masomo, hivyo hongezeni bidii katika mitihani yenu ili muweze kufaulu na hatimaye kuendelea na elimu ya juu zaidi. Special salamu kwa mwanangu Jacquile pale Madibila Secondary, jitahidi ili ufaulu mtihani huu kwa msingi mwema wa maisha yako ya baadaye.
October 3, 2011
Kila la kheri Kidato cha nne
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576
Popular Posts
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Miaka 3 imetimia leo hii, mengi yamepita hapo lakini bado naona kama jana tu. Asante BWANA wa Majeshi kwa kutupigania kutulinda na hata ku...
-
ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa Biharamuro Magharibi, kwa tiketi ya Chama cha Tanzania Labour (TLP), Phares Kabuye amekufa katika ajali ya basi ...
-
Mwandishi wa kituo kimoja cha redio cha watoto wa mjini akiwa kazini wakati wa uzinduzi wa Kili Muzic Awards 2007
-
Mjumbe wa UVCCM Kilimanjaro, Paul Makonda asemaRostam kahamishia Familia yake nje ya nchi.
-
JAMANI MJAMAA ATAFUTA JIKO HUYU NA SIFA KAORODHESHA HAPO CHINI, JE NI KWELI SASA TUMEFIKA HATA KUJITANGAZA KTK VYOMBO VYA HABARI? AU NI UBI...

No comments:
Post a Comment