December 28, 2014

SHUHUDA - KUPITIA KITABU


SIRI ZA KUWA MFANYABIASHARA – USHUHUDA.
Mama huyu anamiliki duka la vifaa vya pikipiki maeneo ya Kariakoo lenye thamani ya zaidi milioni 200, biashara yake ilikuwa inafanya vizuri hapo kabla, lakini ghafla mauzo yalianza kushuka kwa kasi ya ajabu kutoka mauzo ya Mil 4 mpaka kuuza elfu 15 au 10 kwa siku.


Alichanganyikiwa, akatamani kufunga fremu na kurudisha kwa mwenye nyumba, alikata tamaa, akakaa nyumbani muda wa miezi mitatu, aliamua kufunga safari kutafuta msaada Nigeria kwa Mtu wa Mungu Nabii TB Joshua, baada ya maombezi alimshauri arudi Tanzania atapata mtumishi mwenye nguvu atakaye msaidia.
Hatimaye siku moja akiangalia kipindi cha saa ya Ukombozi kupitia Star TV alimwona Nabii BG Malisa , akaamua kufunga safari kufika kanisa la Ukombozi Tegeta, baada ya ibada alinunua kitabu hiki cha “Siri ya kuwa mfanyabiashara aliyefanikiwa”  alitumia kitabu hiki na mwomgozo wa maombi.


Hivi sasa anashuhudia kuwa biashara yake imerudi kama zamani na mauzo kuongezeka kila siku,anashuhudia kuwa kitabu hiki kimekuwa msaada mkubwa sana, kwani kila akitumiapo anaona mpenyo.

PATA NAKALA YAKO FUATILIA HAPA.

UZINDUZI WA JUKWAA LA KISASA LA INJILI PAMOJA NA VYOMBO.

Hili ni jukwaa la kisasa kabisa linalotarajiwa kuzinduliwa leo hii na Mtu wa Mungu Nabii BG Malisa.
.

Mchngaji kiongozi wa kanisa la Ukombozi Tegeta Pastor Tetemeko (Kulia) akimtambulisha Pastor  Paul, pastor Paul alikuwa amepooza mwili mzima kwa zaidi ya siku 24, alikuwa hawezi. kutembea wala kunyanyuka, siku ya mkesha wa kinabii, mkesha wa maajabu ndipo alifunguliwa, mpaka sasa anatembea.

Wachungaji, Shangwe toka Shinyanga, Imani toka Sengerema na Paul toka Morogoro wakati wa ibada ya kinabii na uzinduzi wa jukwaa la kisasa.

December 10, 2014

BOOK - Siri za kuwa mfanyabiashara aliyefanikiwa.



Siri za kuwa mfanyabiashara aliyefanikiwa.
Na NABII BG MALISA.
Mafanikio yoyote yana siri kubwa. Hakuna mtu aliyefanikiwa kama hakuwa na SIRI. Wafanya biashara wengi wanafanya biashara kwa kubahatisha tu, hawana siri zitakazo fanikisha biashara zao. Kwenye ulimwengu wa biashara hakuna neon “BAHATI” Kila mafanikio utakayoyapata yanatokana na siri au kanuni ulizonazo.




UTANGULIZI
Wafanyabiashara wengi sana siku hizi wanavilio vikubwa sana juu ya biashara zao, kwani hali za biashara siku hizi zinazidi kuwa mbaya kila kukicha.
Wengi wanachukua mkopo kwenye mabenki na wanashindwa kurejesha na huku wengi wao wakiwa wameweka rehani mali zao za thamani. Wengi wanaishia kufilisiwa mali zao na hizo benki na wanaishia kwenye maumivu makubwa sana.





Wafanyabiashara wengi wamejitahidi sana kuziombea biashara zao lakini ni kama maombi yao hayaleti matokeo, sababu ni kwamba hawajui kanuni za kufuta kwa ajili ya kuziombea biashara zao, ndio maana maombi yao hayaleti matokeo makubwa kwenye biashara zao.




Biblia inatufundisha kuwa mtu anaweza kuomba vibaya



Soma Yakobo 4:3 “Hata mwaomba, wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya…”




Ni kweli kabisa, wafanyabiashara wengi hawajui kuziombea biashara zao. Hawana kanuni wala ufunuo wa maombi kwa ajili ya kuziombea biashara zao, ndio maana pamoja na kujitoa sana kwenye maombi hawapati matokeo waliyoyakusudia.




Maombi yana kanuni zake, ili upate matokeo kwenye eneo lolote, lazima ufuate hizo kanunin au ufunuo, ndivyo ilivyo hata kwenye eneo hili la biashara. Ni lazima ufuate kanuni zote zilizoandikwa ndani ya kitabu hiki, ndipo utaanza kuona maombi yako yanavyoanza kufanya maajabu kwenye biashara yako.




Pia ndani ya kitabu hiki utajifunza maarifa mengi yatakayokusababisha upige hatua kubwa kwenye biashara zako, kwani ujinga ndicho chanzo kimoja cha watu wengi kushindwa ki-biashara. Ni maarifa pekee  yatakayokufanya kila siku upate FAIDA kwenye biashara zako.
 


Isaya 48:17, “BWANA, Mkombozi wako, mtakatifu wa Israel, asema hivi; Mimi ni BWANA, Mungu wako, nikufundishaye ili upate faida, nikuongozaye kwa njia ikupasayo kuifuta.”
 




NDANI YA KITABUHIKI UTAJIFUNZA MAMBO MENGI, KAMA VILE
Ø  Maombi ya kuhita wateja na pesa.
Ø  NGUVU YA JINA NA KUONDOA GIZA KWENYE JINA.
Ø  IMANI YA KUTAJIRIKA.
Ø  VIPENGELE VYA MAOMBI YA UPENYO.
Ø  SIRI 25 ZA KUFANIKIWA KI-BIASHARA
Ø  SIRI YA NYOTA YA UTAJIRI.
Ø  SHUHUDA ZA WALIOFANIKIWA KI – BIASHARA.
YALIYOMO.
1.       UPAKO WA KUVUTA WATEJA
2.       OMBEA MIKONO YAKO.
3.       UPAKO WA KUZIDISHA.
4.       MAOMBI YA KUVUTA WATEJA.
5.       OMBEA NYOTA YAKO.
6.       OMBEA BIDHAA ZAKO.
7.       OMBEA MTAJI WAKO.
8.       OMBEA JINA LAKO.
9.       UPAKO WA KUKUBALIKA.
10.   AINA ZA PESA.
11.   IMANI YA KUTAJIRIKA.
12.   IMANI YA MATENDO.
13.   SIRI ZA KUFANIKIWA SANA KWENYE BIASHARA.
14.   VIKWAZO VYA MAFANIKIO KWENYE BIASHARA.


Mtu wa Mungu Nabii BG MALISA



Mwandishi wa kitanu hiki ndiye mwanzilishi wa KANISA LA UKOMBOZI MINISTRIES FOR ALL NATIONS lenye makao yake makuu Mwanza, Tanzania. Ni kanisa linalokua kwa kasi, kiasi kwamba kwa miaka michache tu limefikia maelfu ya watu.
Pia ni mhubiri anayerusha kipindi cha “Televion kinachoangaliwa na mamilioni ya watu kila wiki maarufu kwa jina la “SAA YA UKOMBOZI”




KITABU HIKI NA VINGINE VIGI VILIVYOANDIKWA NA MTU WA MUNGU NABII BG MALISA WAWEZA KUVIPATA KATIKA MAENEO YAFUATAYO”
-          ARUSHA – Mama Mchungaji simu………………………………………… 0766 920393
-          MOSHI – Mr Gerald Yesse Msuya, simu………………………………… 0754504272
-          DAR – Dada Ester  simu…………………………………….. 0654272024/0757115051
-          DAR – Mr Patrick simu …………………………………………………………….0752 468879
-          MBEYA – Mama Mchungaji  ……………………………………………………0764 097899
-          SINDIDA – Dada Viviani        ……………………………………………………0764 421304
-          SINDIDA  - Dada Happy   ……………………………………………………… 0768 154372
-          MWANZA – Dada Joyce ……………………………………………………..0763 710426/0717 505014
-          MWANZA – Mwl Theodora ……………………………………………………0755 008642
-          KAHAMA – Mama Dickson ……………………………………………………..0766 466085
-          SENGEREMA – Mchungaji Imani ……………………………………………..0753964384

Kama uko mbali na mikoa hii, wasiliana nasi kwa namba 0763 710426/0717 505014/0755008642/0737210778/ 0784475576

October 22, 2014

MAFANIKIO SI BAHATI - What 13 Successful People Do Before Going To Bed


Morning routines are important — but bedtime rituals can have a serious impact on your success.

That’s because the very last thing you do before bed affects your mood and energy level the following day, since it often determines how well and how much you sleep.
Knowing that, we decided to find out how the most successful spend their nights before surrendering to sleep.

Turns out some — like President Obama and writer Michael Lewis — are night owls, preferring to work while the rest of the world sleeps; while others —like Arianna Huffington and Sheryl Sandberg — know how important sleep is, and force themselves to cool down.

President Barack Obama is a "night owl" and likes to work late.
Unlike Obama's predecessor George W. Bush, who prefers to rise in the early hours, the current president stays up late, reports Carrie Budoff Brown at Politco. He is said to hold conference calls with senior staff as late as 11 p.m. and reads or writes before heading to bed.


In a 2011 interview with Newsweek, Obama calls himself a "night owl" and describes his typical evening:

"Have dinner with the family, hang out with the kids, and put them to bed about 8:30 p.m. And then I'll probably read briefing papers or do paperwork or write stuff until about 11:30 p.m., and then I usually have about a half hour to read before I go to bed ... about midnight, 12:30 a.m. — sometimes a little later."


Obama has also said that if he's home late at night, he'll try to catch "The Daily Show." "I think Jon Stewart's brilliant," Obama tells Rolling Stone.


Inventor Benjamin Franklin asked himself the same self-improvement question every night.In his autobiography, Franklin outlined a schedule that would lead him to "moral perfection." In this ideal schedule, Franklin asked himself the same self-improvement question every night: "What good have I done today?"
He described his other rituals before bed as "put things in their places, supper, music or diversion or conversation, and examination of the day."
Franklin tracked his progress on self-improvement daily.


Facebook COO Sheryl Sandberg turns off her phone at night.Sandberg might work for a tech company, but she knows when to unplug.
 Sandberg tells Jefferson Graham at USAToday that it's "painful," but she turns her phone off at night so that she "won't get woken up."
 "I check my e-mail the first thing in the morning, and the last thing at night," says Sandberg.
 


Winston Churchill had an evening ritual that included a short nap, bath, and drinks well past midnight.


The British prime minister kept to a similar daily routine no matter what happened. In the book "Daily Rituals: How Artists Work," author Mason Currey recorded Churchill's schedule:

Around 5 p.m., the prime minister would drink a weak whisky and soda before taking a nap for an hour and a half. Churchill said this siesta, or short nap, allowed him to work for 1.5 days every 24 hours. When he woke, he bathed and got ready for dinner.
At 8 p.m., Churchill would eat dinner, which was often followed by drinks and cigars well past midnight.

 Due to his irregular sleep schedule, Churchill was said to hold War Cabinet meetings in his bath.
Stephen King's nightly routine includes washing his hands and making sure all the pillows face a certain way.

Stephen King's nightly routine includes washing his hands and making sure all the pillows face a certain way.
"It’s not any different than a bedtime routine," says King as recorded in Lisa Rogak's book "Haunted Heart: The Life and Times of Stephen King."

"I brush my teeth, I wash my hands. Why would anybody wash their hands before they go to bed? I don’t know. And the pillows are supposed to be pointed a certain way. The open side of the pillowcase is supposed to be pointed in toward the other side of the bed. I don’t know why."
 Arianna Huffington only reads "real books" before bed.

Sleep advocate Huffington recommends banning iPads, Kindles, laptops, and any other electronics from the bedroom to unwind.
 Instead, she likes to read the old-fashioned way, "real books."


Michael Lewis prefers to write between the hours of 7 p.m. and 4 a.m.

Author Robert Boynton asked Lewis about his ideal writing routine, as recorded in the book "The New New Journalism":


"Left to my own devices, with no family, I'd start writing at 7 p.m. and stop at 4 a.m.," says Lewis. "That is the way I used to write. I liked to get ahead of everybody. I'd think to myself, 'I'm starting tomorrow's workday, tonight!' Late nights are wonderfully tranquil. No phone calls, no interruptions. I like the feeling of knowing that nobody is trying to reach me."


Former Googler Keval Desai works at night, so he can concentrate.

Former Googler Keval Desai works at night, so he can concentrate.
Desai, a former Google product director and current partner at InterWest Partners, says that staying up is a habit of his. Desai tells Lydia Dishman at Fast Company that he likes to pick one project per night and doesn't go to bed until the project is done.
 

"During the day most of my time is spent in meetings with entrepreneurs, and the only time I can find alone to do work that requires some concentration is when the rest of the household is asleep," he says.
 Kate White, former Cosmo editor-in-chief, likes to write while standing up in the kitchen.

As a magazine editor, White preferred to work on her fiction writing in the early morning hours and switch to magazine editing and blogging at night.
"My craziest trick is that I regularly do my work standing up at a rolling butcher block

counter in my kitchen. If I were to work sitting down, I’d fall asleep," White told Dishman at Fast Company. "I know it sounds awful, but I think of it as if I’m tending bar in the evening — a bar of ideas. And I always keep the kitchen TV on so it doesn’t seem too lonely. I drink several espressos at night, which really helps."
 


Bill Gates reads for an hour before bed, no matter what time he gets home.

The Microsoft billionaire told the Seattle Times: "I read an hour almost every night. It's part of falling asleep."


He enjoys "deeply informative and beautifully written" books (in June he released a list of six books he recommends) and his reading topics range from healthcare to climate change to business and politics.

Gates says he considers himself a very fast reader, despite never taking a speed-reading course.


Vera Wang uses this "peaceful" time to look over materials her staffers send her.
Vera Wang uses this "peaceful" time to look over materials her staffers send her.

"My bedroom is my sanctuary," the fashion designer told Fortune in 2006. "It's like a refuge, and it's where I do a fair amount of designing — at least conceptually if not literally."

She said staffers send her stuff at home, "and I always read it at night — the only time when seven people aren't coming to me at once," Fortune reported.
Buffer CEO Joel Gascoigne walks every evening right before bed.

Gascoigne takes a 20-minute walk every evening to allow total disengagement from his work before turning off the lights.


"This is a wind down period, and allows me to evaluate the day’s work, think about the greater challenges, gradually stop thinking about work, and reach a state of tiredness," he writes in a blog post.


Kenneth Chenault, CEO of American Express, writes down three things he wants to accomplish the next day.


Before retiring for the night, Chenault says he likes to write down the top three things he wants to accomplish the next day. This helps him prioritize first thing the next morning.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...