March 6, 2009

RIP MICHAEL Uledi

Baadhi ya waombolezaji wakitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mwandishi wa habari wa kampuni ya Mwananchi Communications Limited, Marehemu Michael Uledi mjini DodomaLEO. Marehemu Uledi amezikwa jana kijijini kwao Buigiri nje kidogo ya mji wa Dodoma .

SIZITAKI MBICHI HIZI!!!!

MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania, Dkt. Idris Rashidi, ametangaza uamuzi wa kujitoa kwa shirika hilo katika nia ya kununua mitambo ya kufua umeme ya Dowans.
Kwa mujibu wa Rashidi, uamuzi huo umefikiwa baada ya kutolewa taarifa alizodai kuwa ni za uongo na zilizojaa utashi wa kisiasa zaidi, dhidi ya utaalamu wa Tanesco na kwamba zimechangia kuvunja nguvu ya mamia ya wafanyakazi wa shirika hilo nchini, ambao wanafanya kazi usiku na mchana, kuhakikisha nchi inapata umeme wa uhakika.
“Ni imani yetu kwamba tumeishajieleza na kujenga hoja za kutosha, na umma wa Watanzania utafanya uamuzi wao wakati nchi itakapokuwa imegubikwa na giza, hospitali hazitoi huduma, viwanda havizalishi na wanafunzi vyuoni wakishindwa kusoma,” alisema Rashid.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...