September 21, 2010

Ati Tangazo hili limekatazwa kuoneshwa luningani????

Photojournalism in Tanzania: More Zenji images

Photojournalism in Tanzania: More Zenji images: "Tatizo la utumiaji wa madawa ya kulevya kwa vijana, wake kwa waume na hasa mijini ni kubwa sana kwa Zanzibar na Tanzania kwa uju..."

Photojournalism in Tanzania: More Zenji images

Photojournalism in Tanzania: More Zenji images: "Tatizo la utumiaji wa madawa ya kulevya kwa vijana, wake kwa waume na hasa mijini ni kubwa sana kwa Zanzibar na Tanzania kwa uju..."

Fashion hizi zitatumaliza

Mwanamuziki Lady Gaga katika vazi la nyama, (sijui ni kitimoto, mbuzi au ngombe?)

Kumbe tukiamua, tunaweza kuondokana na adha hii!

Kwa kuweza kuchangisha Billion saba kwa usiku mmoja sio siri CCM (ama Katibu MkMakamba) wanastahili pongezi za dhati kabisa, sina kumbukumbu sahihi ni harambee hipi iliwahi kuchangisha pesa zote hizi kwa usiku mmoja tena ikiongozwa na Katibu wa chama tu, lakini kwa kumbukumbu ndogo niliyonayo naamini hii imevunja rekodi (niko tayari kusahihishwa) ya harambee zote.
Nilikuwa najiuliza iwapo Makamba kaweza kuchangisha pesa zote hizo kwa ajili ya kampeni za chama kimoja tu? je ingekuwaje kama Waziri Mkuu angekuwa achangisha kwa ajili labda ya madawati kwa shule nchi nzima? na ingepatikana kiasi gani kama mchangishaji angekuwa ni Makamu wa rais labda kwa ajili ya vitanda na madawa hospitalini?
Na je ingepatikana mabilioni mangapi kama mchangishaji angekuwa ni mwenye nchi mwenyewe yaani Rais kwa labda miuondombinu ama maendeleo ya taifa kwa ujumla?
Nathani Makamba kaonesha njia kuwa kama tukiamua tunaweza kutatua matatizo yetu wenyewe kwani sisi si masikini na wala MUNGU hakuumba WaTanzania masikini ndio maana kabla hajatuumba alitundalia kila aina ya mali ardhini na baharini ili zitunufaishe sisi.
Kumbe tukiamua nasema TUKIAMUA wanafunzi hawa wa Shule ya Msingi Mahanga huko Kigoma vijijini wanaweza kusoma kwa raha, lakini ni kama kweli tuna utashi wa kuamua ama tunaguswa kweli na hali hii.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...