September 21, 2010
Photojournalism in Tanzania: More Zenji images
Photojournalism in Tanzania: More Zenji images: "Tatizo la utumiaji wa madawa ya kulevya kwa vijana, wake kwa waume na hasa mijini ni kubwa sana kwa Zanzibar na Tanzania kwa uju..."
Photojournalism in Tanzania: More Zenji images
Photojournalism in Tanzania: More Zenji images: "Tatizo la utumiaji wa madawa ya kulevya kwa vijana, wake kwa waume na hasa mijini ni kubwa sana kwa Zanzibar na Tanzania kwa uju..."
Kumbe tukiamua, tunaweza kuondokana na adha hii!
Kwa kuweza kuchangisha Billion saba kwa usiku mmoja sio siri CCM (ama Katibu MkMakamba) wanastahili pongezi za dhati kabisa, sina kumbukumbu sahihi ni harambee hipi iliwahi kuchangisha pesa zote hizi kwa usiku mmoja tena ikiongozwa na Katibu wa chama tu, lakini kwa kumbukumbu ndogo niliyonayo naamini hii imevunja rekodi (niko tayari kusahihishwa) ya harambee zote.Nilikuwa najiuliza iwapo Makamba kaweza kuchangisha pesa zote hizo kwa ajili ya kampeni za chama kimoja tu? je ingekuwaje kama Waziri Mkuu angekuwa achangisha kwa ajili labda ya madawati kwa shule nchi nzima? na ingepatikana kiasi gani kama mchangishaji angekuwa ni Makamu wa rais labda kwa ajili ya vitanda na madawa hospitalini?Na je ingepatikana mabilioni mangapi kama mchangishaji angekuwa ni mwenye nchi mwenyewe yaani Rais kwa labda miuondombinu ama maendeleo ya taifa kwa ujumla?Nathani Makamba kaonesha njia kuwa kama tukiamua tunaweza kutatua matatizo yetu wenyewe kwani sisi si masikini na wala MUNGU hakuumba WaTanzania masikini ndio maana kabla hajatuumba alitundalia kila aina ya mali ardhini na baharini ili zitunufaishe sisi.Kumbe tukiamua nasema TUKIAMUA wanafunzi hawa wa Shule ya Msingi Mahanga huko Kigoma vijijini wanaweza kusoma kwa raha, lakini ni kama kweli tuna utashi wa kuamua ama tunaguswa kweli na hali hii.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...