Hii picha ni nzuri sana, nimeipenda sana, hongera kwa aliyepiga picha hii, inaongea zaidi ya maneno millioni moja unapozungumzia mchakato wa katiba, inaongea vitu vingi sana kuliko unavyoweza kueleza, inaonesha jukumu kubwa lililo mbele ya Mheshimiwa Rais kiasi kwamba inabidi aipitie hotuba yake mara kadhaa, pengine kuongeza au kupunguza baadhi ya mambo.
NICE PIX.
March 22, 2014
Edmark Tanzania 2nd Anniversary and Natural Beauty Product Launch
Bidhaa hizi za uembo zimekuwa zikisubiriwa kwa muda mrefu sana, baada ya kupata vibari vyote toka malmaka husika serikalini sasa zitatambulishwa rasmi nchini siku hiyo ya shereha kutimiza miaka 2.
Huu ni mkombozi kwa watu wote wanaopenda urembo asilia, pia wale wote waliokwisha athirika na madawa yenye kemikali kali wanaweza kutumia hizi kutunza ngozi zao.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...