March 29, 2010

Mtoto wa Mkulima yuko Vietnam

Mtoto wa Mkulima akikadua Gwaride la heshima.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea maua kutoka kwa mtoto wa Vietnam wakati alipopokelewa rasmi kwenye viwanja vya Ikulu ya Hanoi , Machi 29, 2010 kuanza ziara yake ya kikazi nchini Vietnam. Kulia ni mwenyeji wake, Waziri Mkuu wa Vietnam, Nguyen Tan Dung.

Mama Salma ziarani Mara

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwasalimia mamia ya wananchi wa kijiji cha Nyamuswa, wilayani Bunda mkoani Mara, wakati akielekea mjini Bunda kukagua shughuli mbalimbali za akinamama wajasiriamali wilayani humo Mkurugenzi Mkuu wa Singita Grumeti Reserves Bwana Graham Ledger,kulia, akikabidhi hundi ya shilingi milioni tano kwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo Mama Salma Kikwete kwa ajili ya kazi za taasisi ya WAMA. Makabidhiano hayo yalifanyika katika hoteli ya Grumeti iliyoko katika hifadhi ya Serengeti

Wikend ilikuwa bomba sana,

Wikendi hii ilikuwa bomba sana na kufanya J3 kuwa white monday, hasa baadaya ya kalamu za mabao toka kwa chama hizo mbili.
Swaaafi kabisa.

TAFSIRI KWA NJIA YA GOOGLE - CHEKA UNENEPE KIDUCHU

WADAU KUNA ALIKWISHA WAHI TUMIA HUDUMA YA GOOGLE KUTAFSIRI KURASATANDO OR WEBPAGE? HEBE CHEKI
TARIME BALAA TUPU
Tarime disaster empty
Ajuza is between 90-100 years kubo has nyofolewa boast all the more his feet for two swords and the hospital is now being mahtuti.
Ajuza he had experienced mkasa the weekend his home ward Ngerengere Sirari districts of Vientiane Inchugu Tarime district immediately.
Region Commander Police Tarime / Rorya Costantine Massawe said that the incident happened March 27 this year and he has admitted Ajuza in Tarime District Hospital.
claimed that the violence has done and resident of the village of Kubiterere whose name was not known immediately.
Massawe Commander mkasa explaining the more the accused said he planned to attack the house of his grandmother and started The attack to ward Kumkata swords and leave him bleeding disorder with many crying for help,
Commander Massawe said that the grandson of Mrs. she heard the cries of her grandmother for help and start Scream where the Neighbors came out immediately and were to pomtia hands and started beating him.
suspect he was planning to cut down the belly to all bowels out.
Sirari Center Police arrived they ever get to the center kumuokoa bring the accused to the hospital and Ajuza.
suspect died on the same day and he still Ajuza lying ward number 6 for treatment of both his legs and injuries to th....
ICHEKI STORI KAMILI HAPA

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...