October 5, 2011
WINNERS Boulevard.: Excellence is Habit!
WINNERS Boulevard.: Excellence is Habit!: Seeds of Discipline: Excellence Is a Habit We learn by observation, imitation and repetition. Habits begin as offhand remarks, ideas ...
Precision Air kuuza hisa Milioni 60 Oktoba 7 - 28, 2011
Muasisi na Mwenyekiti wa Bodi wa Precision Air Bw. Michael
Shirima (kulia) akitoa tamko rasmi kuhusiana na mpango wa Uuzaji wa Hisa katika
Soko la Awali (IPO) utakaoanza tarehe 7 – 28 Oktoba, 2011 wakati wa mkutano na
waandishi wa habari leo jijini Dar, Katikati ni Mkurugenzi Mkuu na Meneja
Mwendeshaji wa Precision Air Bw. Alfonse Kioko akifuatiwa na Meneja Uhusiano wa
Wateja katika Benki ya Stanbic Bi. Naomi Vincent.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Dar es Salaam Oktoba 4, 2011.
Bodi
ya Wakurugenzi wa shirika la ndege la Precision Air Services Plc inapenda
kuwataarifu kwamba mpango wetu wa Uuzaji wa Hisa katika Soko la Awali (IPO) na
kuorodheshwa katika Soko la Hisa la Dar es salaam (DSE) imepatiwa vibali vyote
husika na sasa ipo tayari kwa hatua zinazofuata.
Kilichoidhinishwa
ni ratiba ya matukio ya utaratibu mzima wa mchakato huu:
Kampuni
itatoa jumla ya hisa 58,841,750 kwa ajili ya ununuzi kwa bei ya 475 kwa kila
hisa. Huku idadi ya chini ya kuanza kununua hisa ambayo mtu ataruhusiwa kununua
itakuwa ni hisa 200.
Nakala
ya waraka wa matarajio ya kampuni ambayo pamoja na mambo mengine, maelezo
maalumu ya ufafanuzi na ununuzi wa hisa zinapatikana katika tovuti ya Precision
Air www.precisionairtz.com
tarehe 4 Oktoba 2011.
Kwa
niaba ya Wakurugenzi ya Bodi, utawala na wafanyakazi wote napenda kutoa
shukurani zangu za dhati kwa wateja wetu kwa mchango wao na ushirikiano
yakinifu ulioweza kufanikisha maendeleo na ukuaji wa shirika la ndege hili
tangu kuanzishwa kwake mwaka 1993.
Michael N
Shirima
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi
|
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...