HATIMAYE MPAMBANO WA WATANI WA JADI NUSU FAINALI KOMBE LA TUSKER UMAMALIZIKA BAADA YA KUCHEZWA KWA DAKIKA 120 NA YANGA KUIBUKA KIDEDEA KWA KUIFUNGA SIMBA BAO MBILI KWA MOJA 2 - 1,
MABAO YA YANGA YAMEFUNGWA NA JERRY TETEGE NA SHAMTE ALLY NA LA KUFUTA MACHOZI LA SIMBA LILILOPATIKANA KWA NJIA YA PENATI LIMEFUNGWA NA HILAL ECHESER.
HABARI NDO HIYO ANGALAU SIKUKUU INAKUWA NZURI AU MWASEMAJE, POLENI SANA WEKUNDU WA MSIMBAZI HUO NDO MPIRA
December 24, 2009
Kufungwa mtu ni lazima leo.
Mpambano wa watani wa Jadi utachezwa muda c mrefu, mashabiki na wapenzi wa timu zote viroho viko juu kwa mpambano huu, japo ni wa kombe la Tusker lakini wakutanapo watani hawa wa jadi huwa hakuna cha mechi ya kirafiki wa cha nini kwa timu mbili hizi ni kama fainali tu.
Yetu macho tu na Dakika tisini ndo mwamuzi, tofauti na mechi zote hii ni lazima afungwe mtu, yaani hakuna droo hapa. kaaaaaazi kweli kweli.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...