December 24, 2009

YANGA OYEEEEEEEEEEEE

HATIMAYE MPAMBANO WA WATANI WA JADI NUSU FAINALI KOMBE LA TUSKER UMAMALIZIKA BAADA YA KUCHEZWA KWA DAKIKA 120 NA YANGA KUIBUKA KIDEDEA KWA KUIFUNGA SIMBA BAO MBILI KWA MOJA 2 - 1, MABAO YA YANGA YAMEFUNGWA NA JERRY TETEGE NA SHAMTE ALLY NA LA KUFUTA MACHOZI LA SIMBA LILILOPATIKANA KWA NJIA YA PENATI LIMEFUNGWA NA HILAL ECHESER. HABARI NDO HIYO ANGALAU SIKUKUU INAKUWA NZURI AU MWASEMAJE, POLENI SANA WEKUNDU WA MSIMBAZI HUO NDO MPIRA

Kufungwa mtu ni lazima leo.

Mpambano wa watani wa Jadi utachezwa muda c mrefu, mashabiki na wapenzi wa timu zote viroho viko juu kwa mpambano huu, japo ni wa kombe la Tusker lakini wakutanapo watani hawa wa jadi huwa hakuna cha mechi ya kirafiki wa cha nini kwa timu mbili hizi ni kama fainali tu. Yetu macho tu na Dakika tisini ndo mwamuzi, tofauti na mechi zote hii ni lazima afungwe mtu, yaani hakuna droo hapa. kaaaaaazi kweli kweli.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...