August 2, 2010
Breeeeaking Newzzzz - Jidulamabambasi Afariki!, Shibuda apoooza
Habari zilizotufikia muda si mrefu zinadai kuwa Amani Jidulamambambasi amefariki ghafla leo hii na Mbunge anayemaliza muda wake Magare John Shibuda amepoooza mdomo ama stroke.
Wakati matokeo ya kura za maoni zilizopigwa jana zikizidi kutolewa hari imekuwa ndivyo sivyo kwa baadhi ya wagombea wa Jimbo la Maswa Mkoani Shinyanga.
2010 Presidential race begins
Kura za maoni ni kitimtim,
Vituko, vimbwanga, na hata kupigana vimeonekana kutawala kura za maoni ndani ya CCM na ata kufikia kuairishwa kwa baadhi ya maeneo,
Vyombo mbalimbali nchini vimeripoti mapungufu haya kwa namna yake lakini pia na matoleo kwa baadhi ya sehemu huku yakionesha vigogo kadhaa kupigwa mweleka,
DAILY NEWS ( Irregularities mar CCM pollsIrregularities mar CCM polls), habarileo ( Uchaguzi CCM wavurugika) Mwanachi (Malecela, Karamagi,Selelii, Chiligati hoi, SITTA, KILLANGO,MWAKYEMBE JANUARY, NCHIMBI WANG'ARA), The Guardian ( Delays and irregularities affect voting exercise), Nipashe (Kura maoni CCM Vigogo wangoka), Tanzania Daima (KURA ZA MAONI: Moto wawaka CCM
• Mchuano wa ubunge watoa matokeo magumu)
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
A very rare opportunity. With Outstanding Entrepreneur, Great Visionary, Motivational Speaker, Founder, Chairman and CEO of Edmark Inte...
-
SAKATA LA RADAR BADO BICHI KABISA......... BAE in spotlight over Tanzania radar deal BAE Systems faces fresh controversy over foreign ar...