August 22, 2008
Ridhiwani Kikwete afunga Ndoa
Ridhiwan na Bi Harusi Arafa Mohamed Mara baada ya kufunga ndoa leo huko Ubungo Plaza.
JK na Ridhiwan
"Karibu sana Ikulu mwanangu" wazazi wakimkaribisha bi Harusi.
Mambo ya Beijing hayoooooo
EPA bado hakijaeleweka!!!!
Baadhi ya wananchi hawajaridhika na hatua zilizochukuliwa na serikali juu wizi wa fedha za akaunti ya malipo ya nje maalufu kama EPA ya watuhumiwa kupewa hadi oktoba 31 kuwa wamerejesha vinginevyo watapelekwa mahakamani.
Mkurugenzi wa Mtandao wa jinsia Ussu Malya pamoja na baadhi ya wanachi wanahoji kama ni sawa kwa watuhumiwa kupelekwa mahakamani iwapo watashindwa kurudisha pesa hizo na kuoji je hao walio kwisha rudisha ndio basi?
"Yaani mtu unaiba mabilioni ya umma kwa hati za kufoji kisha unashitukiwa na unaambiwa urudishe basi? hii haiingii akilini hata kidogo tunataka hatua zaidi" Malya
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...