August 22, 2008

Ridhiwani Kikwete afunga Ndoa

Ridhiwan na Bi Harusi Arafa Mohamed Mara baada ya kufunga ndoa leo huko Ubungo Plaza. JK na Ridhiwan "Karibu sana Ikulu mwanangu" wazazi wakimkaribisha bi Harusi.

Mambo ya Beijing hayoooooo

Beijing Olympic inaendelea na haya ni baadhi tu ya manjonjo au michezo inayoendelea huko, mambo ya kiuno bila mfupa hayo.

EPA bado hakijaeleweka!!!!

Baadhi ya wananchi hawajaridhika na hatua zilizochukuliwa na serikali juu wizi wa fedha za akaunti ya malipo ya nje maalufu kama EPA ya watuhumiwa kupewa hadi oktoba 31 kuwa wamerejesha vinginevyo watapelekwa mahakamani. Mkurugenzi wa Mtandao wa jinsia Ussu Malya pamoja na baadhi ya wanachi wanahoji kama ni sawa kwa watuhumiwa kupelekwa mahakamani iwapo watashindwa kurudisha pesa hizo na kuoji je hao walio kwisha rudisha ndio basi? "Yaani mtu unaiba mabilioni ya umma kwa hati za kufoji kisha unashitukiwa na unaambiwa urudishe basi? hii haiingii akilini hata kidogo tunataka hatua zaidi" Malya
Posted by Picasa

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...