September 10, 2008

ULINZI KWA MAJAJI WASTAAFU VIPI?

Jaji Mstaafu Robert Kisanga akionyesha tundu ktk fensi ambalo wakola walitengeza ili kuingia kwa nia ya kuiba RAV 4 yake ambapo hata hivyo hawakufanikiwa kwa mzee wa watu alistuka na kuwakulupua. hii ni mara ya pili kwa Mhe Jaji kuvamiwa mara ya kwanza ilikuwa kwenye miaka ya tisini jamaa walikuja na siaraha lakini pia hawakufamikiwa kwani walidhibitiwa na askari polisi aliokuwa akimlinda. Majaji kwa kawaida uwa na ulinzi wa polisi wanapokuwa bado ofisini lakini mara baada ya kustaafu ni UTAJIJU au na Lwako, jee ni sawa? fikilia umesweka fisadi miaka 30 ndani na baada ya siku kadhaa unastaafu, je itakuwaje? patakalika hapo maana mafisadi twajua jinsi walivyo na vijisent vya kumwaga je si atawapa jamaa wakumalize?

Hofu "GHOROFA LIMEPINDA"

Leo hii ilikuwa ni kituko mtaa wa zanaki ambapo wakazi wa jiji walikusanyika ktk jengo moja la ghorofa 11 wakidai limepinda na kulalia lingine la ghorofa tatu jirani kabisa na jengo lililobomoka likiwa lajengwa hivi karibuni na kuua mmoja. wengine wanadai si kweli bali wamezidiwa na swaumu tu. tusubiri tuone.

Mambo ya ndoa

MAMBO YA MAHUSIANO KANTUMIA MDAU JUBE JE NIKWELI? ANGALIA TOFAUTI YA MAJIBU UKISOMA TOKA CHINI KWENDA JUU. Before marriage.....
  • He: Yes. At last. It was so hard to wait.
  • She: Do you want me to leave?
  • He: No! Don't even think about it.
  • She: Do you love me?
  • He: Of course! Over and over!
  • She: Have you ever cheated on me?
  • He: No! Why are you even asking?
  • She: Will you kiss me?
  • He: Every chance I get.
  • She: Will you hit me?
  • He: Are you crazy! I'm not that kind of person!
  • She: Can I trust you?
  • He: Yes.
  • She: Darling!

After marriage....

Simply read from bottom to top

Halmashauri kuu ya CCM yaanza DOM

Mwenyekiti Rais JK akisalimu wajumbe,
Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Nape Nnauye na Dr Emmanuel Nchimbi wakijadili jambo wakati wa kikao cha Halmashauri kuu ya CCM inayofanyika mjini dodoma leo

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...