September 10, 2008
ULINZI KWA MAJAJI WASTAAFU VIPI?
Jaji Mstaafu Robert Kisanga akionyesha tundu ktk fensi ambalo wakola walitengeza ili kuingia kwa nia ya kuiba RAV 4 yake ambapo hata hivyo hawakufanikiwa kwa mzee wa watu alistuka na kuwakulupua.
hii ni mara ya pili kwa Mhe Jaji kuvamiwa mara ya kwanza ilikuwa kwenye miaka ya tisini jamaa walikuja na siaraha lakini pia hawakufamikiwa kwani walidhibitiwa na askari polisi aliokuwa akimlinda.
Majaji kwa kawaida uwa na ulinzi wa polisi wanapokuwa bado ofisini lakini mara baada ya kustaafu ni UTAJIJU au na Lwako, jee ni sawa?
fikilia umesweka fisadi miaka 30 ndani na baada ya siku kadhaa unastaafu, je itakuwaje? patakalika hapo maana mafisadi twajua jinsi walivyo na vijisent vya kumwaga je si atawapa jamaa wakumalize?
Hofu "GHOROFA LIMEPINDA"
Leo hii ilikuwa ni kituko mtaa wa zanaki ambapo wakazi wa jiji walikusanyika ktk jengo moja la ghorofa 11 wakidai limepinda na kulalia lingine la ghorofa tatu jirani kabisa na jengo lililobomoka likiwa lajengwa hivi karibuni na kuua mmoja.
wengine wanadai si kweli bali wamezidiwa na swaumu tu.
tusubiri tuone.
Mambo ya ndoa
MAMBO YA MAHUSIANO KANTUMIA MDAU JUBE JE NIKWELI?
ANGALIA TOFAUTI YA MAJIBU UKISOMA TOKA CHINI KWENDA JUU.
Before marriage.....
- He: Yes. At last. It was so hard to wait.
- She: Do you want me to leave?
- He: No! Don't even think about it.
- She: Do you love me?
- He: Of course! Over and over!
- She: Have you ever cheated on me?
- He: No! Why are you even asking?
- She: Will you kiss me?
- He: Every chance I get.
- She: Will you hit me?
- He: Are you crazy! I'm not that kind of person!
- She: Can I trust you?
- He: Yes.
- She: Darling!
After marriage....
Simply read from bottom to topHalmashauri kuu ya CCM yaanza DOM
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...