Mjane Agnes Jeremiah amekuwa akiishi kwa kutegemea kugonga kokoto huko Kunduchi tangu kufiwa na mumewe yapata miaka saba sasa, kwa siku nzuri uingiza kiasi cha Shs 1000 au chini ya US$ 1, kiasi hiki ndicho anachotegemea kulisha na kusaidia familia yake ya watoto wanne wa kwanza akiwa ndo kwanza amemaliza darasa la saba.
Lakini mama huyu hatoweza kufanya kazi hii ya kipato kidogo hivi kwa muda zaidi kutokana na kuwa serikali imewaamulu wote wanaoishi kwenye maeneo ya machimbo ya kokoto huko Kunduchi kuondoka mara moja na siku yoyote tingatinga litaingia kufanya kazi yake. Je ni wapi kina mama kama huyu wataelekea?
October 22, 2008
Maisha Bora....
JONGWEEEEEEEE
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
SAKATA LA RADAR BADO BICHI KABISA......... BAE in spotlight over Tanzania radar deal BAE Systems faces fresh controversy over foreign ar...
-
Gadhafi na Obama With reported pockets of fighting remaining in Tripoli on Wednesday, the whereabouts of Lib...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...