Mjane Agnes Jeremiah amekuwa akiishi kwa kutegemea kugonga kokoto huko Kunduchi tangu kufiwa na mumewe yapata miaka saba sasa, kwa siku nzuri uingiza kiasi cha Shs 1000 au chini ya US$ 1, kiasi hiki ndicho anachotegemea kulisha na kusaidia familia yake ya watoto wanne wa kwanza akiwa ndo kwanza amemaliza darasa la saba.
Lakini mama huyu hatoweza kufanya kazi hii ya kipato kidogo hivi kwa muda zaidi kutokana na kuwa serikali imewaamulu wote wanaoishi kwenye maeneo ya machimbo ya kokoto huko Kunduchi kuondoka mara moja na siku yoyote tingatinga litaingia kufanya kazi yake. Je ni wapi kina mama kama huyu wataelekea?
October 22, 2008
Maisha Bora....
JONGWEEEEEEEE
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...