December 17, 2008

Michelle amwonya Barack Obama

"KUCHUKUA WATU WA CLINTON KWENYE SKWADI LAKO SINA SHIDA ILA NSIMWONE YULE KIMWANA MONICA LEWINSKY"

WAANDISHI WATUNUKIWA

Father Kidevu Mroki akipewa nishani
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Amiri Jeshi Mkuu, wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jakaya Kikwete amewatunukia nishani waandishi 12 wa vyombo mbalimbali vya habari nchini, walioshiriki katika vita ya kumng’oa kiongozi muasi ndani ya visiwa vya Komoro, Kanali Mohamed Bakari. Akikabidhi nishani hizo, kwa niaba ya Rais kwenye viwanja vya Karimjee Dar es Salaam jana, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, alisema taifa limethamini mchango wa wanahabari hao, waliokuwa wakiripoti katika mazingira magumu, dhidi ya vita hiyo. “kwa kutambua mchango wako, (mmoja mmoja) wa kuandika matukio kwenye uwanja wa mapambano, wa kukikomboa kisiwa cha Anjouan, yaliyofanyika bila kumwaga damu, kazi uliyoifanya katika mazingira magumu, mimi Rais nakutunukia nishani,” alitamka.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...