February 4, 2010

SENEMA HII NATAMANI NIONE MWISHO KABLA YA KWISHA

Hii ni risiti ya Pingu alizonunua Jery Muro huko Mzinga Shop Morogoro, kulingana na maelezo ya awali kwamba hakuna raia anaruhusiwa kumiliki pingu (bastola, mabobu, mizinga na mabunduki ruksa) isipokuwa polisi tu kwa maelezo kuwa ndo wanaomtia mtu nguvuni, wakti wangine watumia hizo ata kwenye malavidavi, Je Mamlaka nyingine hazina taarifa hii?
Hakina natamani ningeona mwisho wa picha alafu ndo liendelee, ka kuna mtu ana rimoti afowadi hii movi kwanza tuone mwisho afu arejeshe ndo twangalie taratiiiibu.

"Tubadilishane dogo"

"Tubadilishane dogo" pengine ndivyo asemavyo CDF Davis Mwamunyange akiwa ktk foleni na baadhi ya vijana wake walioko kambini Msata ambao wanatarajiwa kuelekea Sudan kilinda amani, maana yawezekana ni siku nyingi hajatumia mustin.
Hii inafurahisha sana, mustin zanikumbusha mbali sana hizi.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...