November 4, 2011
Watano wauawa Mwanza
Siku moja baada ya jiji la Mwanza kulindima na kuanikizwa na milio ya mabomu ya kutoa machozi katika juhudi za polisi kutawanya maandamano haramu na vurugu zilizokuwa zikifanya mahakamani na kundi la waislamu, leo tena mida ya saa tatu na nne ilikuwa kimuhemuhe, maenoe ya barabara ya Nyerere karibu na Benki ya Stanbic pale majambazi yalipovamia duka la vifaa vya ujenzi.
Safari hii si mabomu ya machozi, la hasha ni siraha za moto zilizogharimu damu ya ya kutosha imemwagika dukani hapo majambazi matano yameteketea, jambo la kushngaza ni kuwa duka hilo liko karibu kabisa na kituo cha polisi cha pamba, yaani limetenganishwa na barabara na kituo hicho cha mafuta.
Je jamaa walidhani polisi wamelala au hakuna polisi kituoni? au pengine waliamua kujitoa mhanga kama Wapalestina? au siku zao zilikuwa zimefika? sijui, ila haiingii akilini.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...