MAHAKIMU wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam ambako kesi za ufisadi katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zinasikilizwa, wamehofia usalama wao; hali iliyowalazimu kuomba kupatiwa ulinzi wa polisi.
Mahakimu hao wanadai wamepewa dhamana ya kuendesha kesi hizo kubwa wakati usalama wao ni mdogo kutokana na kutokuwa na usafiri, hali inayowalazimu wakimaliza kuendesha kesi hizo wapande daladala.
November 14, 2008
EPA - MAHAKIMU WAOMBA ULINZI
MWANAFUNZI AJIUA KWA MSIBA WA NYAULAWA.
A form two student of Imezu Secondary School in Mbeya District, Ambrosi Mwantambo (23) has hanged himself death for what is said to be a shock for the death of Mbeya Rural MP, Richard Nyaulawa. Information from the village said the student reached the decision after learned that, MP Nyaulawa who was paying his school fees died and he lose hope of going on with studies. Mbeya Regional Police Commander, Zelothe Stephen confirmed the death of the Mwantambo, were he said the incident occurred in November 13, at Inyala village around 9 am.
MOI YAPIGWA TAFU...
Daktari! ama no!!, Doctor ohh no!!! Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsabahi mtoto mwenye umri wa miaka minne Catherine Paul aliyelazwa katika taasisi ya MOI katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kufanyiwa upasuaji wa moyo mapema wiki hii.Rais Kikwete alikwenda hospitalini hapo kupokea vifaa vya upasuaji mishipa na Ubongo vilivyo tolewa msaada na Kampuni ya Synthes Spine yenye makao yake makuu nchini Uswisi, kupitia hospitali ya Chuo Kikuu cha Weill Cornell kilichopo New York nchini Marekani.Vifaa hivyo vilikabidhiwa na Daktari Bingwa wa Uapsuaji Mishipa na Ubongo Dr.Roger Hartl.
EPA - JK ATUZWA KONDOO
Mbunge wa jimbo la Same Mashariki,Anne Kilango Malecela akiwa ameshika kondoo aliyekabidhiwa na wananchi wa jimbo hilo kwa ajili ya kumpongeza Rais Jakaya Kikwete kwa hatua alizochukua dhidi ya watuhumiwa wa ufisadi wa fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje ( EPA) ya Benki Kuu ya Tanzania. Kilango alikabidhiwa juzi kondoo huyo.
Mgomo wa walimu wiki ijayo..
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...