YAPATA MWEZI MMOJA ULIOPITA NILITEMBELEA WEBSITE HII AMBAYO UWA INATHAMINSHA WEBS MBALIMBALI NA KUZIPA THAMANI KULINGANA NA JINSI ZINZVYOTEMBELEWA NIKAKUTA BP IKIWA NA THAMANI YA $1540 NA USHEE LEO HII NIPOANGALIA NIKAKUTA IMEPANDA NA KUFIKIA $2284.9 NA WATEMBELEAJI WAMEONGEZEKA MARADUFU PIA. HIININI MAANA YAKE? NI KUWA NINYI WADAU NDO MLIOIPANDISHA KUFIKIA HAPO NA NDO MNAOWEZA KUIPAISHA ZAIDI IVYO NASEMA ASANTENI SANA WADAU KWA MSHIKAMANO TULIONYESHA MWAKA JANA KUFIKIA HAPO, TUZIDI KUSHIRIKIANA ZAIDI KWA MWAKA HUU 2009, NAMI NAAHIDI KUWA NITAZIDI KUIFANYA BORA ZAIDI ILI KILA UFUNGUAPO BASI UPATE BURUDANI, ELIMU NA UFAHAMU NA ZAIDI UPATE KUJUZWA YANAYOJILI HAPA BONGO NA POPOTE NITAKAPOKUWAPO. ASANTENI SANA WADAU.
January 7, 2009
BONGO PIX YAPANDA THAMANI.
"HASISIKIE MTU UPUMBAVU WAKO"
Kuna mdau kantumia hii, nathani ushauri watufaa wengi wetu tunaodhani kila tufunguapo vinywa vyetu twatoa busara na twaeleweka na watu hata kama ni complains tu kila wakati, ni vyema tukachukua ushauri huu na kuufanyia kazi kwani ni kibiblia kabisa pale ktk Mithali isemapo "hata mpumbavu uhesabiwa hekima akikaa kimya, naamu huseabiwa busara asipofungua kinywa chake". TUUFUATE
MOST POWERFUL VERSE
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...