YAPATA MWEZI MMOJA ULIOPITA NILITEMBELEA WEBSITE HII AMBAYO UWA INATHAMINSHA WEBS MBALIMBALI NA KUZIPA THAMANI KULINGANA NA JINSI ZINZVYOTEMBELEWA NIKAKUTA BP IKIWA NA THAMANI YA $1540 NA USHEE LEO HII NIPOANGALIA NIKAKUTA IMEPANDA NA KUFIKIA $2284.9 NA WATEMBELEAJI WAMEONGEZEKA MARADUFU PIA. HIININI MAANA YAKE? NI KUWA NINYI WADAU NDO MLIOIPANDISHA KUFIKIA HAPO NA NDO MNAOWEZA KUIPAISHA ZAIDI IVYO NASEMA ASANTENI SANA WADAU KWA MSHIKAMANO TULIONYESHA MWAKA JANA KUFIKIA HAPO, TUZIDI KUSHIRIKIANA ZAIDI KWA MWAKA HUU 2009, NAMI NAAHIDI KUWA NITAZIDI KUIFANYA BORA ZAIDI ILI KILA UFUNGUAPO BASI UPATE BURUDANI, ELIMU NA UFAHAMU NA ZAIDI UPATE KUJUZWA YANAYOJILI HAPA BONGO NA POPOTE NITAKAPOKUWAPO. ASANTENI SANA WADAU.
January 7, 2009
BONGO PIX YAPANDA THAMANI.
"HASISIKIE MTU UPUMBAVU WAKO"
Kuna mdau kantumia hii, nathani ushauri watufaa wengi wetu tunaodhani kila tufunguapo vinywa vyetu twatoa busara na twaeleweka na watu hata kama ni complains tu kila wakati, ni vyema tukachukua ushauri huu na kuufanyia kazi kwani ni kibiblia kabisa pale ktk Mithali isemapo "hata mpumbavu uhesabiwa hekima akikaa kimya, naamu huseabiwa busara asipofungua kinywa chake". TUUFUATE
MOST POWERFUL VERSE
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
A very rare opportunity. With Outstanding Entrepreneur, Great Visionary, Motivational Speaker, Founder, Chairman and CEO of Edmark Inte...
-
SAKATA LA RADAR BADO BICHI KABISA......... BAE in spotlight over Tanzania radar deal BAE Systems faces fresh controversy over foreign ar...