November 23, 2009

Wanakijiji wanapolazimika kuomba DK 10 za Mtoto wa Mkulima

Wananchi wa Kijiji cha Mkunya wilayani Newala wakiwa wamebeba bango kubwa linalomuamba Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliyekuwa anapita kijijini kwa akilekea kwenye kituo cha maji cha Mkunya kusimama na kuwasikiliza.

Maofisa Habari wapigwa msasa A town

Naibu Waziri wa Habari Joel Bendera akiwa na Mkurugenzi wa MAELEZO Clement Mshana na Mkurugenzi wa AICC Bw Kaaya mara baada ya kufungua semina ya Maofisa Habari Mjini A Town Leo hii.
Posted by Picasa

Citi Bank wanywa uji na yatima Kigamboni

Wafanyakazi wa Benki Citi ya jijini Dar wikend hii waliamua kuitumia kwa stahili yao kwa kwenda kutembelea kituo cha yatima cha Tuamoyo huko kigamboni na kunywa nao uji kabla ya kukabidhi misaada yenye thamani ya milion 3.5 shilingi za Bongo.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...