January 2, 2008

TPA na salamu za mwaka mpya kwa vibarua, kuna wanaolala masikini wakaamka matajiri hata hapa bongoland lakini masikini hawa wamelala masikini wanaamka malofa zaidi, hivi hizi kampuni ni za nani hasa? na kwanini vibarua hawa walazimishwe kujiunga na kampuni hizi? na nini hatima yao na TPA? JE INAWATAMBUA?
Vibarua zaidi ya 1500 wa Bandari Dar (TPA) Wagoma, wamefika asubui na kukuta bango linalowataka kujiunga ktk makampuni matano kuanzia leo pasipo kujua hatima yao TPA ambako wanadai kutumika zaidi ya miaka kumi.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...