February 6, 2009
Bizinez ktk karne ya 21
SHERIA DAY LEO
“Awali ya yote nina chukua fursa hii kukiri kwa dhati kwamba muda wote wa miaka mitatu na ushei wa uongozi wako………hujaingilia uamuzi wa mahakama kwa matendo wala kwa kauli, waliokutangulia waliwahi kuteleza na kuvunja mwiko huo. Lakini hatuwazungumzii hao na isitoshe, yaliopita si ndwele,” alisema Jaji Mkuu.
Aliongeza “hivyo ndugu zangu Majaji na Mahakimu, tumpongeze kwa kishindo Mheshimiwa Rais kwa kuwa muumini na kielelezo cha kuheshimu dhana ya mgawanyiko wa madaraka kwa vitendo na kauli,” alisisitiza.
Kuhusu Bunge, bila kujali uwapo wa Spika wa Bunge, Samuel Sitta katika hafla hiyo, alisema mhimili huo uliwahi kutaka uwe na madaraka ya kimahakama dhidi ya watu ambao wanazozana na Wabunge lakini wazo hilo halikufanikiwa ingawa kinyume cha utaratibu lilichukua kazi ya mahakama ya kusikiliza tatizo kati ya Mbunge wa Mkuranga, Adam Malima na Reginald mengi ambaye si Mbunge.
Aidha pia alisema Spika wa Bunge, Sitta, katika kile alichokiita kughafilika aliwahi kutoa matamshi kuhusu sakata la mafuta ya petroli huko Morogoro baada ya amri ya Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji, Ewura ya kuvifunga vituo kadhaa vya mafuta ilipositishwa kwa muda na Mahakama ya Hakimu Mkazi.
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...