January 27, 2009
Liumba na Kweka wapanda kizimbani.
JE PICHA HUSOMAYO GAZETINI NDIVYO ILIVYOPIGWA?
Tumekuwa na ugomvi mkubwa sana na rafiki zangu watengeneza kurasa au graphic designer juu ya namna wanavyozitengeza au kuharibu katika kutengeza picha kabla ya kuchapishwa gazetini.
Hapo juu ni mifano michache tu ya jinsi gani mpiga picha waweza kuonekana bomu kwa msomaji kumbe kuna mtu mwingine ambaye hajulikani kwa msomaji ndo aliosababisha.
Mfano mmoja mdogo ni picha ya chini ofisi za ndege pale JNIA Dar, picha hii ilipigwa siku moja baada ya ATCL kuanza tene safari za ndani ya nchi huku wakiruka na abiria mmoja au wanne kwa ndege ya abiria 50, hali halisi yaonesha katika picha hii ni kwa jinsi gani pana kafoleni kadogo ktk Ofisi za PW lakini hakuna hata mmoja ATCL, lengo la picha hii ni kujaribu kuyaweka maneno au habari hii katika picha na ndivyo ilivyokabidhiwa na maelezo kama hayo.
Lakini jambo la kushangaza kesho yake picha ilitika kama ilivyo na maelezo tofauti na yale ya mpigapicha au hata habari yenyewe, jambo hili ni la kusikitisha sana, kwani mpigapicha anaonekana muongo sababu ya mtu mmoja tu.
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...