January 27, 2009

Liumba na Kweka wapanda kizimbani.

Amatus Liumba Deogratius Kweka. Watuhumiwa Amatus Liumba na Deo Kweka waliokuwa watumishi wa BOT wamepandishwa kizimbani kujibu tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia hasara serikali zaidi ya Bilioni 220 TZS na ushee. Wamepelekwa rumande baada ya kushindwa masharti ya dhamana ikiwapo kila mmoja kuweka dhamana ya bilioni 50 TZS.

JE PICHA HUSOMAYO GAZETINI NDIVYO ILIVYOPIGWA?

Origino picha
Origno picha

Tumekuwa na ugomvi mkubwa sana na rafiki zangu watengeneza kurasa au graphic designer juu ya namna wanavyozitengeza au kuharibu katika kutengeza picha kabla ya kuchapishwa gazetini.

Hapo juu ni mifano michache tu ya jinsi gani mpiga picha waweza kuonekana bomu kwa msomaji kumbe kuna mtu mwingine ambaye hajulikani kwa msomaji ndo aliosababisha.

Mfano mmoja mdogo ni picha ya chini ofisi za ndege pale JNIA Dar, picha hii ilipigwa siku moja baada ya ATCL kuanza tene safari za ndani ya nchi huku wakiruka na abiria mmoja au wanne kwa ndege ya abiria 50, hali halisi yaonesha katika picha hii ni kwa jinsi gani pana kafoleni kadogo ktk Ofisi za PW lakini hakuna hata mmoja ATCL, lengo la picha hii ni kujaribu kuyaweka maneno au habari hii katika picha na ndivyo ilivyokabidhiwa na maelezo kama hayo.

Lakini jambo la kushangaza kesho yake picha ilitika kama ilivyo na maelezo tofauti na yale ya mpigapicha au hata habari yenyewe, jambo hili ni la kusikitisha sana, kwani mpigapicha anaonekana muongo sababu ya mtu mmoja tu.

WADAU WANA FANI MNA MAONI GANI? NITUMIE MIFANO ULIYONAYO TUIWEKE HEWANI ILI KUAMSHA MJADALA WA NINI KIFANYIKE.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...