January 21, 2009

Ajari mbaya tena Arusha, 16 wafa papo hapo.

Ajari mbaya imetokea leo alasiri baada ya basi la abiria aina Coaster lenye namba za usajili T799 AWR kugongwa na roli la kampuni ya Bonite na kusababisha vifo vya watu wapatao 16 katika Daraja la Mto Nduruma katika barabara kuu ya Arusha-Moshi.

JK, PINDA ZIARANI NA MAUAJI YA ALBINO.

Rais JAKAYA kikwete akimsalimia mtoto yusuf sheha ambaye ni albino katika kijiji cha konde, Pemba
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika mkutano aliouitisha wa kujadili mikakati ya kukomesha mauaji ya albino na vikongwe akiwa na mototo Stella wakati alipozungumza na viongozi wa serikali, vyama vya siasa , dini na maalbino kwenye ukumbi wa Vijana katika mji Mdogo wa Chato,
Mke wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda akiwa na mototo George Bush wa Chato ambaye Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe walimwomba kwa wazazi wake ili wakaishi naye nyumbani kwao, wakamsomeshe na kumsaidia kwa kila hadi atapojitegemea.
Waziri John Magufuli akiwa na mbunge wa Kuteuliwa Sheimaa Kwegir.

HAPANA SHAKA KUWA VIONGOZI WETU WAKO MSTARI WA MBELE KATIKA KUPIGA VITA UKATILI UNAOFANYWA KWA NDUGU ZETU HAWA. BRAVO JK, BRAVO MTOTO WA MKULIMA.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...