January 25, 2010

Msaada kwa Mtoto Tuntufye.

Wadau Tumsaidie Mtoto Tuntufye..

MZAZI wa mtoto Tumtufye Mwakasaka (8) ambaye kwa sasa amekatisha shule kuja mkoani Iringa kutafuta wasamaria wema kwa ajili ya kunusuru maisha yake baada ya mwili wake kuvimba mithiri ya pipa wamemwomba Rais Jakaya Kikwete pamoja na wadau wote kusaidia kunusuru uhai wa mtoto huyo.
Mtoto huyo ambaye anahitaji msaada wa fedha zaidi ya shilingi milioni 5 kwa ajili ya kwenda nchini India kutibiwa kwa sasa anaishi katika eneo la Bwawani kihesa kilolo katika Manispaa ya Iringa huku akiendelea kutabika baada ya mwili wake kutokwa na malenge lenge sehemu za siri na maeneo mengine huku akiendelea kuvimba mwili kutokana na maradhi ya figo yanayomsumbua.
zaidi mtembelee Fransis Godwin

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...