September 23, 2008
NMB ngoma bado mbichi
WAKATI WATEJA WAKIKUTANA NA BANGO LA KUOMBA MSAMAHA LISILO NA TAREHE YA LINI LIMEWEKWA AU TATIZO HILI LITAKWISHA LINI,
WAFANYAKAZI WAMEENDELEA KUKUTANA KTK UKUMBI WA MSIMBAZI CENTRE WAKISUBIRI KUITWA ILI KUTIA SAINI MAKUBALIANO,
PIA VIONGOZI WA TUICO AMBAO NDIO WALIORATIBU MGOMO HUU LEO HII WAMEFIKISHWA MAHAKAMANI ZAIDI TUTAWAJULISHA KADIRI TUNAVYOZIPATA.
MAHAKAMA KUU KITENGO CHA KAZI KIMETENGUA MGOMO UNAOENDELEA WA NMB NA KUAMURU WAFANYAKAZI WOOTE KURUDI KAZI MARA MOJA, HII NDO MPYA
Congrat, Ally
It is every designers dream to be part of the London Fashion Week, and this year Ally Rehmtullah, a 22 year old Tanzanian designer was given this honour. On the 19th of September Ally Rehmtullah launched his new African Couture at the Museum of London during the London Fashion Week. Ally was also part of fashion diversity whereby as an established designer he was an inspiration to the young and upcoming designers in London. Ally Rehmtullah's couture was modelled by MAHOGANY MODELS from London.
NILIPATA KUSEMA KTK BLOGU HII KWAMBA KIJANA ANAKUJA JUU SANA HUYU NI MMOJA KATI YA CHIPUKIZI KABISA KTK ULIMWENGU WA MITINDO LAKINI ANA NDOTO KUBWA SANA,
HONGERA SANA ALLY.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...