Habari ndo hiyo.
December 28, 2009
Kitoweo kutonesha kidonda cha MUUNGANO??
Nimemsikia waziri mmoja wa Visiwani akilalamika kuwa tani 80 walizopewa Zenji si sawa na kuwa wanapaswa kupewa tani takribani 120 ya samaki wa al maarufu "Samaki wa Magufuri" ambazo ni sawa na aslimia 40% ya samaki hao waliokamatwa yapata miezi zaidi ya nane iliyopita huko bahari kuu.
MWISHO KUSAJILI SIMU SASA JUNI 30, 2010
Tanzania(TCRA) imeongeza muda wa usajili wa kadi za simu kwa muda wa miezi sita mingine ambapo sasa mwisho itakuwa ni Juni 30, mwakani.
Akizungumza na waandishi wa habari leo asubuhi Dar es Salaam Mkurugenzi Mkuu wa mamlaka hiyo, Profesa John Mkoma, alisema wamelazimika kuongeza muda huo kutokana na changamoto mbalimbali zilizojitokeza wakati wa usajili ikiwamo tatizo la umeme vijijini.
“Kutokana na tathmini iliyofanyika na kwa kuzingatia maslahi ya watumiaji pamoja na watoa huduma, TCRA imeongeza muda wa kusajili namba za simu kwa muda wa miezi sita mingine hadi Juni 30, mwakani,” alisema Profesa Mkoma.
Alisema pamoja na kwamba tangu usajili huo uanze Julai mosi, mwaka huu hadi Desemba 20, watumiaji milioni 6.3 ambao ni sawa na asilimia 43 wameshajisajili na kuingizwa kwenye data, lakini utaratibu huo umekuwa ukikabiliana na changamoto mbalimbali ambazo zimekwaza usajili huo hasa vijijini.
TCRA iliamua kuanzisha utaratibu wa kusajili namba za simu Mwaka huu ili kulinda watumiaji na matumizi mabaya ya huduma hiyo ya mawasiliano , kuwezesha kutambua watumiaji wa huduma za ziada za simu kama huduma za kibenki nakadhalika, kuimarisha usalama wa taifa na kuwawezesha watoa huduma kufahamu wateja wao na kuwahudumia.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...