November 26, 2008
NENO LA LEO
My brethren, count it all joy when you fall into various trials, knowing that the testing of your faith produces patience. But let patience have its perfect work, that you may be perfect and complete, lacking nothing.
James 1: 2-4
AfDB YAMWAGA Bn 192.9
Yesuuuuuuu nyife siamini walai!!!!!!!
"Hii sirikali ya awamu ya nne ni chiboko yaani hata miye nalala selo hati kwa kukosa tubilioni tunne tu??? walai siamini, hebu kachukue lile VX langu pale kwa Hoseah kijana".
kwa kweli siami macho yangu au naota vile?
MAWAZIRI wawili wa zamani, Basil Mramba na Daniel Yona, wamelala rumande baada ya kushindwa kutimiza masharti ya dhamana baada ya kushitakiwa kwa kosa la kuisababishia hasara serikali ya Sh bilioni 11.7. Washitakiwa hao ambao walipandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana saa 5:35 asubuhi, walishindwa kutimiza sharti la kila mmoja kuweka Sh bilioni 3.9 mahakamani. Walikana mashitaka yao 13. Wote wanatuhumiwa kutumia vibaya madaraka yao ya uwaziri hivyo kuipendelea Kampuni ya Alex Stewart (Assayers) ya Uingereza kwa kuipa misamaha ya kodi.
http://www.dailynews.habarileo-tsn.com/
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
Huwa nina kawaida au tabia ya kusoma kila kilichombele yangu kilichoandikwa, sijui kama kawaida/tabia hii ni mzuri au la kila mtu aweza sem...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
WAPENDWA TWAIJUA NGUVU YA NENO NA UWEZA WAKE? JE TWAJUA KUWA ULIMI WAUMBA AU WABOMOA? The Power of a Word Proverbs 12:18 gives us some val...