May 9, 2010

Hureeeeeeeeeeeee!!!!11

Wanasemaga "the winner takes it all", nilikuwa nikiwaambia mashetani wekundu lakini wabishi, waache na ubishi wao.

Kitimutimu cha Somanga, mhh we acha tu

Sio kama ndo naamka wadau, hapan hii ni baada ya kukata kipande korofi cha kiasi cha KM 60 maaarufu kama Somanga ktk barabara ya kuelekea kusini, twaambiwa tuna bahati maana hatukulala njiani, yasemekana watu wamalizaga wiki kukata kipande hiki, Mwanzo wa shughuri ni pale unapomaliza daraja la Mkapa.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...