Ujumbe mzito wa kampuni ya General Electric toka Marekani ukiongozwa na Makamu wake wa Rais John Rice ukiongea na Waziri wa Nishati na madini William Ngeleja ofisini kwa waziri jana.
General Electric kampuni ya tatu kwa ukubwa duniani kwa mujibu wa jarida la Forbes imeonesha nia kuwekeza nchini katika nyanja mbalimbali.
Muda ukifika tutajualishwa zaidi.
Mungu ibariki Tanzania.
May 27, 2011
May 25, 2011
Fashion hizi! Underwear inapokuwa topwear
Mdada huyu alipata wakati mgumu kukatiza mitaa ya Iringa na kulazimika kupata hifadhi duka la vipuri baada ya wananchi kumzonga na kumzomea kutokana na kinachodaiwa kuvaa nguo ya ndani nje.
Leo hii ametishia kuwapeleka mahakamani wananchi na blog iliyolipoti tukio hilo na kuweka picha zake kwamba eti wamemdhalilisha.
Zaidi mtembeleee mdau Francis Godwin
Leo hii ametishia kuwapeleka mahakamani wananchi na blog iliyolipoti tukio hilo na kuweka picha zake kwamba eti wamemdhalilisha.
Zaidi mtembeleee mdau Francis Godwin
May 23, 2011
UHURU WA KIPATO
MANY times friends have asked us to join a network marketing group. Some have told us we should quit our day jobs because a network marketing group will get us rich quickly.
However, many of us fail to join because we are asked to pay a fee by buying a product. Network marketing is new wave sweeping across the world.
Network marketing is based on word-of-mouth advertising, which is the most effective form of advertising. Think about it; when you find a nice restaurant or hotel, you will go and tell people about it. Companies count on this but don't pay you for advertising them. In network marketing you get paid for word-of-mouth advertising by recommending a product or service and receiving money for it.
Robert Kiyosaki in his book Retire Young Retire Rich summed up network marketing saying: "It is the business school for people who like helping people".
May 21, 2011
Two hours before May 22, Why the World did not end?
Harold Camping 89-year-old retired civil engineer has broadcast
prophecies of the May 21 doomsday around the world, and his loosely organized
flock has taken to the streets to spread the word. However, many in the
Christian mainstream don't buy it, according to the Associated Press.
Harold Camping
Another argument that Camping uses in favor of the May 21st date is as follows:
1. According to Camping, the number five equals "atonement", the number ten equals "completeness", and the number seventeen equals "heaven".
2. Christ is said to have hung on the cross on April 1, 33 AD. The time between April 1, 33 AD and April 1, 2011 is 1,978 years.
3. If 1,978 is multiplied by 365.2422 days (the number of days in a solar year, not to be confused with the lunar year), the result is 722,449.
4. The time between April 1 and May 21 is 51 days.
5. 51 added to 722,449 is 722,500.
6. (5 × 10 × 17)2 or (atonement × completeness × heaven)2 also equals 722,500.
Thus, Camping concludes that 5 × 10 × 17 is telling us a "story from the
time Christ made payment for our sins until we're completely saved.
Imebaki masaa mawili kufika Tarehe 22 Mei, je nini kimetokea kwa utabiri wa Harold juu ya mwisho wa dunia May 21?
May 19, 2011
Ati Mei 21 ni mwisho wa dunia????
Nilisikia redioni, nikasoma mtandaoni na kwenye baadhi ya media, nikajionea na picha za watu wanaoamini kuwa kesho kutwa yaani tarehe 21 ni mwisho wa dunia, wanadai wamefunuliwa na ati imeandikwa hivyo ndani ya Biblia.
Mwanzilishi wa UVUMI ama "UNABII" huo ni Mtangazaji wa na Rais wa Family Radio, Harold Camping
Camping anasema Tarehe 21 Mei ni siku ya unyakuo kwa wateule na kuwa miezi mitano baadaye yaani trh 21 Oktoba ndio mwisho wa dunia. anadai hii ni kwa mujibu wa Biblia, japo sijaona popote anaponukuu andiko lisemalo hivyo.
Kiasi gani mtabiri huyu yu sahihi? hii yanikumbusha Kibwetere wa Uganda. Je historia kujirudia???
Only time will tell.
...and this is the Calculation as per Harold Camping:-
Mwanzilishi wa UVUMI ama "UNABII" huo ni Mtangazaji wa na Rais wa Family Radio, Harold Camping
Camping anasema Tarehe 21 Mei ni siku ya unyakuo kwa wateule na kuwa miezi mitano baadaye yaani trh 21 Oktoba ndio mwisho wa dunia. anadai hii ni kwa mujibu wa Biblia, japo sijaona popote anaponukuu andiko lisemalo hivyo.
Kiasi gani mtabiri huyu yu sahihi? hii yanikumbusha Kibwetere wa Uganda. Je historia kujirudia???
Only time will tell.
...and this is the Calculation as per Harold Camping:-
Another argument that Camping uses in favor of the May 21st
date is as follows:
1. According to Camping, the number five equals
"atonement", the number ten equals "completeness", and the
number seventeen equals "heaven".
2. Christ is said to have hung on the cross on April 1, 33
AD. The time between April 1, 33 AD and April 1, 2011 is 1,978 years.
3. If 1,978 is multiplied by 365.2422 days (the number of
days in a solar year, not to be confused with the lunar year), the result is
722,449.
4. The time between April 1 and May 21 is 51 days.
5. 51 added to 722,449 is 722,500.
6. (5 × 10 × 17)2 or (atonement × completeness × heaven)2
also equals 722,500.
Thus, Camping concludes that 5 × 10 × 17 is telling us a
"story from the time Christ made payment for our sins until we're
completely saved.
May 18, 2011
WHAT IS SELF ESTEEM?
WHAT IS SELF ESTEEM?
Self-esteem is a term used in psychology to reflect a person's overall evaluation or appraisal of his or her own worth. It encompasses beliefs (for example, "I am competent", "I am worthy") and emotions such as triumph, despair, pride and shame.
Self Esteem is essential to nearly everything you do. It affects your success in relationships, your family life, leisure activities, work, career and life. It affects your behavior, thinking, and everything you attempt in life. It impacts on everything you want to do.
A firm belief in your capabilities and self-confidence is the single most important asset you have as a person. Even with all the resources and skills in the world, a person will fall short of attempting what could be their greatest achievements if they do not have the Self Confidence and Self Love to attempt what they want in life.
SIX BEHAVIORS THAT INCREASES SELF ESTEEM By Denis Waitley
Following are six behaviors that increase self-esteem, enhance your self-confidence, and spur your motivation. You may recognize some of them as things you naturally do in your interactions with other people. But if you don’t, I suggest you motivate yourself to take some of these important steps immediately.
May 6, 2011
Why you should use Aloe Vera Tooth gel,
Hii kwangu naona ni kama kuwa huduma ya kwanza nyumbani, ikiwa wahitaji kujua zaidi juu ya product hii wasiliana nami kwa email au simu hapo juu.
May 4, 2011
SILENT VOICES Design by B. Rwebangira
Photos © Ahmed Abdulaziz, Lindi Tanzania
© Anita Boma, Iringa, Tanzania
© Anthony Kayanda, Kigoma Tanzania
© Danny Mkuchu, Lindi
© Athuman Mtepa, Lindi
© Boniface Mpagape
© Beatrice Rabach, Mwanza
© Bernard Rwebangira, Kawe
© Ali Lityawi, Shinyanga
© Athuman Mtepa, Lindi
© Edward Kigadye, Kigoma
© Elibariki Mafore, Lindi
© Anita Boma, Iringa, Tanzania
© Anthony Kayanda, Kigoma Tanzania
© Ali Lityawi, Shinyanga |
© Athuman Mtepa, Lindi
© Boniface Mpagape
© Beatrice Rabach, Mwanza
© Bernard Rwebangira, Kawe
© Ali Lityawi, Shinyanga
© Athuman Mtepa, Lindi
© Edward Kigadye, Kigoma |
© Emmy Reid, Mwanza |
© Edward Kigadye, Kigoma
© Elibariki Mafore, Lindi
May 3, 2011
Ni full vikombe sasa, hiki chajileta City centa,
Huu ni mwaka wa kuoteshwa Vikombe Bongo, cha sasa kimekuja kisasa zaidi, chachemshiwa katika jiko la gesi, chagharimu 1000, wanjwa mara mbili kwa wiki mbili baaaasi, mapaparazi wanakuwa wakwanza kuonjeshwa, mtindo ndo ule ule, Uandikishwi, uulizwi ugonjwa wala historia, no kurudia wala maswali. Kwa hisani ya Mo Blog
TAASISI ya Tanzania Medicinal Plant Foundation (TMF) kutoka jiji la Mwanza Jimbo la Ilemela imekuja na dawa mpya ya miti shamba inayotibu magonjwa yote ikiwamo Ukimwi.
Akizungumza na Waandishi wa Habari katika Idara ya Habari Maelezo leo hii asubuhi Mwenyekiti wa TMF Marwa Gonzaga alisema dawa hiyo ya miti shamba inaitwa Tarissa Stinarum inapatika katika jimbo la Ilemela kijiji cha Nyamwilolelwa kata ya Igombe.
Gonzaga alisema walianza utafiti wao mwezi wa Januari mwaka huu baada ya kwenda kwa Babu Loliondo kuona kama kuna tofauti na dawa hiyo ya kwao.
Mwenyekiti alisema kuwa dawa ya Babu Loliondo na ya kwao ni sawa wanatumia miti shamba mmoja uliojulikana huko india miaka ya 1958.
“Babu wa Loliondo anatumia dawa hii tunayotumia sisi na tulikwenda samunge kuangalia tukathibisha na watafiti wa maabara wakathibitisha na sisi tukaendelea na utafiti wetu wa dawa hii ya miti shamba,’ alisema
Alisema dawa hiyo ya miti shamba inatibu magonjwa mengi kama vile Kisukari, Magonjwa ya moyo, Ukimwi na Kansa.
Mwenyekiti alisema dawa hiyo unakunywa mara mbili tu baada ya wiki mbili baada ya kunywa na ni shilling elfu moja kwa kikombe.
kwa hisani wa Mo Blog
May 2, 2011
Photojournalism in Tanzania: SILENT VOICES PHOTO EXHIBITION - DAR
Photojournalism in Tanzania: SILENT VOICES PHOTO EXHIBITION - DAR: "'SILENT VOICES' at Allliance Francaise in Dar es Salaam along Ali Hassan Mwinyi near Las Vegas, opened on Thursday 28 April will rem..."
huyu ataka gari la Milion200 na huyu auwawa kwa deni la sh 500/- ni Bongo hapahapa
Nawaza kwa sauti!
Wakati Mtukufu, Mh sana Meya wetu anadai (wanadai) kununuliwa mashangingi ya bei mbaya Millioni 200/- kwa kodi zetu pia wapo watanzania wengi wanapoteza maisha kwa vitu ambavyo uwezi amini (kama deni la 500/-) kuwa ni nchi moja haya yanatokea,
Waheshimiwa, Watukufu watawala wetu wanatamani ufahali katikati ya lindi la ufukara linalotuzungukuka? Je wanadai ufahali huu toka katika mapato gani? je ni kweli tuna ziada ya fedha kiasi hiki katika Halmashauri zetu ata tufikie kuwapa pepo watawala wetu? Je huduma za jamii zikoje? shule zetu ziko katika hali gani? Hospitali na miundombinu vikoje?
Jamani mwenzenu nawaza kwa sauti tu!
OSAMA BIN LADEN KILLED
WASHINGTON – Osama bin Laden, the glowering mastermind behind the Sept. 11, 2001, terror attacks that killed thousands of Americans, was slain in his luxury hideout in Pakistan early Monday in a firefight with U.S. forces, ending a manhunt that spanned a frustrating decade.
"Justice has been done," President Barack Obama said in a dramatic announcement at the White House.
A jubilant crowd of thousands gathered outside the White House as word spread of bin Laden's death. Hundreds more sang and waved American flags at Ground Zero in New York — where the twin towers that once stood as symbols of American economic power were brought down by bin Laden's hijackers 10 years ago.
Another hijacked plane slammed into the Pentagon on that cloudless day, and a fourth was commandeered by passengers who forced it to the ground — at cost of their own lives — before it could reach its intended target in Washington.
The United States attacked Afghanistan within months, pursuing al-Qaida, and an invasion of Iraq followed as part of the Bush administration's global war on terror.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...