November 25, 2011

TAKO LA SIMENTI!!!!! KINA DADA MWAPATA SOMO GANI HAPO

Dada mmoja huko Miami  Marekani aliyekuwa akitaka kwenda kufanya kazi ya uchangudoa katika klabu za usiku amejikuta akiweza simenti katika makalio yake katika kutafuta gharama nafuu za kukuza makalio ili avutie wateja, ifuatilie zaidi hapo chini, 
Oneal Ron Morris

A woman who wanted to work at a nightclub started searching for someone who could perform plastic surgery at a cheap price to give her a curvier body. Police say what she found was a woman posing as a doctor who filled her buttocks with cement, mineral oil and flat-tire sealant.

The suspect -- who police say was born a man and identifies as a woman -- apparently performed the surgery on herself, and investigators say she may have victimized others. Oneal Ron Morris, 30, was arrested
 Friday after a year on the lam and has been charged with practicing medicine without a license with serious bodily injury.

Police photos show Morris as a small-framed woman with bee-stung pouty lips, arched eyebrows, oversized hoop earrings -- and a large backside. She was released from jail on bond. A phone listing for Morris could not be found, and it's unclear if she has an attorney.

Miami Gardens Police Sgt. Bill Bamford said Sunday that Morris bounced from house to house for a year, driving a black Mercedes and staying out of investigators' sight "like a ghost." An officer drove by one of those possible houses nearly every day on his way to work and saw the car outside on Friday, and he arrested Morris soon after.

The victim, who is not being named due to medical privacy laws, paid $700 for a series of injections in May 2010. She was referred to Morris by a friend.

Morris injected some type of tube in several sites around her bottom, pumping it full of a toxic concoction. Morris reassured the woman when the pain became too intense, police said.

Bamford said Morris told the woman, "`Oh don't worry, you'll be fine. We just keep injecting you with the stuff and it all works itself out."'

Bamford said the victim was reluctant to come forward. She quickly went to two South Florida hospitals due to severe abdominal pain and infected sores on her buttocks accompanied by flu-like symptoms. But she left each time, too embarrassed to tell doctors what she'd done.

Her mother eventually took her to a hospital on Florida's west coast, where alarmed doctors pressed her for information. They alerted the Department of Health.

"The doctors knew no licensed physician in his right mind would ever do this," Bamford said.
The victim is still recovering from the surgery and says it's too painful to work. She also has racked up numerous medical bills.

Authorities believe there are other victims who may be too embarrassed to come forward.
"(Morris) was readily introduced to our victim as someone who could help improve her shape, so we believe (she's) done this to other people," Bamford said.

  Source: Fox News.com 

Mvua zaleta maafa!



WATU wawili wamekufa na wengine watatu kunusurika baada ya lori walilokuwa wakisafiria kusombwa na maji katika daraja la Mto Loobuko kati ya Makuyuni na Mto wa Mbu wilayani Monduli.


Ajali hiyo ilitokea jana saa 12 alfajiri wakati lori hilo namba T190 AKW likiwa limebeba mitambo ya kutengeneza barabara likitoka Engaruka kwenda Arusha, kukumbwa na dhahama hiyo.

Maafa hayo yametokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika milima ya Monduli.

Mfanyakazi wa Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR), Augustino Masige, akiendesha gari namba T573 AHW, akitoka Arusha kwenda Musoma ni miongoni mwa watu walionusurika katika maafa hayo baada ya gari lake aina ya Toyota kusombwa na maji eneo hilo.

Mkuu wa Wilaya ya Monduli, Jowika Kasunga, aliwataja watu waliokufa kuwa ni dereva wa lori hilo aliyetambuliwa kwa jina moja tu la Shekman (38) na msaidizi wa mitambo ya kutengeza barabara, Samwel Julius (28).

Kasunga alisema watu hao walisombwa na maji umbali wa kilometa moja huku msaidizi wa opareta wa mitambo, alikutwa amenasa kwenye miti huku amekufa.

Dereva alikutwa amekufa umbali wa kilometa moja baada ya kugunduliwa na wanafunzi wa shule za msingi waliokuwa wakirejea nyumbani kutoka shuleni.


Kwa hisani ya Father Kidevu blog

MAFURIKO YA SENENE


Wakti mikoa mingine ni mafuriko na hata kufikia watu kupoteza maisha na miundombinu kuharibiwa, mkoani Kagera ni tofauti, wao ni mafuriko ya senene, kitoweo wakipendacho ata kusema kuwa ni tamu kuliko nyama.  tembelea hapa kwa picha zaidi.

GAMBA LAWA LA KOBE!


Nipashe: LOWASSA AJIELEZA NEC
Halmashauri Kuu ya Taifa (Nec) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imemaliza kikao chake jana huku aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, akisimama na kutoa dukuduku lake kuhusiana na tuhuma za ufisadi dhidi yake.

Kikao hicho cha siku mbili kilichoketi chini ya Mwenyekiti wake Rais Jakaya Kikwete, ambacho kilimalizika jana saa 11:30 jioni, mtoa habari wetu alikuwa ndani ya kikao hicho alisema Lowassa, alisimama na kueleza masikitiko yake juu dhana ya kujivua gamba ilivyoendeshwa wakati kikao hicho kikijadili hali ya siasa nchini.
Chanzo chetu kilimkariri Lowassa akisema kama ni suala la kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Richmond, alitaka kuuvunja mkataba kati ya kampuni hiyo na Shirika la Umeme nchini (Tanesco) mapema, lakini Rais Kikwete aliyekuwa nje ya nchi alikataa kufanya hivyo na badala yake alimwambia kuwa anasubiri ushauri wa makatibu wakuu wa wizara.

Alisema aliamua kujiuzulu nafasi zake katika serikali ili kulinda heshima ya serikali na chama chake, lakini anashangazwa na hatua ya wanaCCM wenzake na si wapinzani kuzunguka mikoani kumchafua wakidai kuwa yeye ni fisadi.

Lowassa alimkumbusha Mwenyekiti kuwa kumekuwa na utamaduni wa kupikiana majungu ndani ya chama na kukumbushia tukio la yeye (Kikwete) kuzushiwa mengi na Daud Mwakawago wakati wa harakati za kuusaka urais kabla ya 2005.

“Mwenyekiti wewe unakumbuka wakati Mwakawago alipokuja na rundo la tuhuma za hisia, isingekuwa busara za Rais Mkapa (Rais wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa), wewe usingekuwa hapo ulipo,” chanzo hicho kilimkariri Lowassa akisema.




Daily News: NO EXPULSIONS NEC WINDS UP MEETING 
THE National Executive Committee of the Ruling Party, Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM), on Thursday ended its two-day meeting without expelling or stripping some prominent cadres of their posts as speculated earlier.

However, the Dar es Salaam Regional Party Secretary, Kilumbe Ng'enda, was relieved of his duties.

The party's Ideology and Publicity Secretary, Mr Nape Nnauye, promised reporters here on Thursday that he would address a press conference on Friday.

Sources from the meeting however told the 'Daily News' that the meeting resolved to forward the 'cleansing and skin shedding' business to the Ethics and Security Committee, and the Central Committee (CC-CCM).

"The meeting decided that any CCM member who has evidence of wrong-doing by the cadres should submit it to the two committees for appropriate action," revealed the source.

Another high-profile NEC member said the meeting resolved to 'cleanse' the party without breaking it up.

"NEC members debated the philosophy, it was decided it should be conducted with sobriety and with evidences," revealed another NEC member.




 Mwananchi: LOWASSA, SUMAYE WABWATUKA NEC
MAWAZIRI Wakuu wa zamani, Edward Lowassa na Frederick Sumaye, jana walishambulia kwa maneno makali wajumbe wawili wa Sekretarieti ya CCM kwamba wamekuwa wakikivuruga chama na kusababisha mgawanyiko uliopo.Lowassa aliyejiuzulu Uwaziri Mkuu, kutokana na kashfa ya Richmond ndiye aliyekuwa wa kwanza kuzungumzia suala hilo wakati wa mjadala wa hali ya siasa, katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kilichomazika jana mjini Dodoma.

Habari za uhakika kutoka ndani ya kikao hicho zinasema Lowassa alianza kubwaga moyo wake baada ya NEC kuridhia ombi la Kamati Kuu ya chama hicho (CC) kwamba suala la mageuzi ndani ya CCM maarufu kama kujivua gamba lirejeshwe katika kamati hiyo ili lifanyiwe kazi kwa taratibu za kawaida za kinidhamu baada ya wahusika kukataa kuachia nafasi zao.

“Mwenyekiti kwanza napongeza uamuzi huu wa kurejesha jambo hili katika taratibu za kawaida, lakini napenda kufahamu kwa miezi saba nimetukanwa nikiitwa fisadi, watu wamezunguka nchi nzima kwa fedha za chama wakinitukana, hivi hatukujua kwamba kuna kamati hizo za maadili,”Lowassa alinukuliwa akihoji.

Lowassa alinukuliwa akiwataja Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye na Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Tanzania Bara, John Chiligati kwamba wamekuwa wakitukana watu ovyo kwa fedha wanazopewa na CCM.

Kwa mujibu wa taarifa hizo, Lowassa alitumia dakika saba kumshambulia Nape kwamba amekuwa akifanya mambo nje ya utaratibu na kwamba mwenendo huo umekuwa ukikibomoa chama badala ya kukijenga.

Baada ya maneno ya Lowassa, Waziri Mkuu mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Sumaye alisimama na kuhoji sababu za chama hicho kunyamazia ukiukwaji wa taratibu ambao umekuwa ukifanywa na watendaji hao.

“Mwenyekiti huyu bwana (Lowassa) amesema kwamba amechafuliwa kwa miezi saba, sasa kama leo tunasema kwamba tunarudi kwenye utaratibu wa kamati za maadili, hao waliomchafua watafanywaje?”Sumaye alinukuliwa akihoji.
Hata hivyo, taarifa za ndani ya kikao hicho zilimnukuu Kikwete akisema kwamba viongozi hao watakuchukuliwa hatua za kinidhamu kama watakuwa wamefanya hivyo.
Kutokana na hali hiyo, Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete aliwasihi wajumbe kuachana na suala hilo na badala yake kuchangia maeneo mengine ya taarifa hiyo ya hali ya siasa iliyowasilishwa na Katibu wa Siasa na Mambo ya Nje ya CCM, January Makamba.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...