June 24, 2008
Branch on Wheel
Mwenyekiti wa Board CRDB Martin Mmari akichukua burungutu lake toka ktk Tawi linalotembea au Branch on Wheel. CRDB ni Benk ya kwanza nchini kuwa na huduma hii ya TAWI LINALOTEMBEA AMBAPO KUNA ATM PIA.
Bank on Wheels ya CRDB
Benk ya CRDB imezindua matawi ya benk yanayotembea yaan Mobile Branch au Branc on Wheels".matawi haya yanatoa huduma zote za kibenk kama matawi mengine yoyote yale.
Wakipongezana ni Mwenyekiti Martin Mmari, MD Dr Charles Kimei, Mkuu wa Benki mbadala Joseph Witts na Mkurugenzi Utafiti na Masoko Bibie Tully Mwambapa.
Furaha yako kuzinduliwa Dom.
Flora Mbasha kuzindua albamu yake ya tatu iitwayo Furaha yako mjini Dom mwisho wa wiki hii mgeni rasm ni Mtoto wa Mkulima MP, kushoto ni ubavu wake Emmanuel Mbasha.
Bungeni
Spika wa Bunge na mbunge wa Urambo Mashariki, Samwel Sitta akichat na wabunge Kabwe Zitto na Said Arfi, nje ya ukumbi wa bunge mjini Dodoma
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...