December 6, 2009
Wizara inapogeuzwa mradi wa familia
Education ministry turns family affair
THE Government is investigating the education ministry permanent secretary, Francis Lubanga, over allegations of nepotism, fraud, malicious dismissal of subordinates and abuse of office levelled against him.
The report accuses Lubanga of replacing several employees in key positions with his relatives. It lists 30 employees at the ministry who are related to Lubanga, the majority of whom are said to have been irregularly hired or promoted.
Among those he allegedly hired are his sister, son, daughter, wife, uncle, nephew, as well as in-laws and other close family members. The 14-page dossier says Lubanga’s relatives have been put in charge of multi-million projects in different departments within the ministry.
source : Sunday vision
Kagame akutana na CEO wa TIGO
Kanisa USA lateua Shoga mwingine kuwa Askofu
Dayosisi moja mjini Los Angeles, Marekani, imemchagua askofu, na ambaye waziwazi inafahamika anahusishwa na mapenzi ya jinsia moja.
Huyu ni askofu wa pili katika kanisa la Anglikana na anayehusishwa na mapenzi ya jinsia moja, jambo ambalo limesababisha mgawanyiko mkubwa katika kansia hilo.
Mchungaji Mary Glasspool, kutoka Baltimore, alichaguliwa kama askofu msaidizi, ingawa anahitaji kuungwa mkono na kanisa la Episcopal (Anglikana) nchini Marekani ili kikamilifu kukabidhiwa mamlaka hayo.
Gene Robinson (pichani) alikuwa wa kwanza kuchaguliwa kama askofu wa mapenzi ya jinsia moja, katika dayosisi ya New Hampshire, miaka sita iliyopita, na jambo hilo likasababisha mgawanyiko katika kanisa Anglikana.
source: BBC
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...