May 31, 2009

Amin, Usiamini huu ndo ukweli - dawasco ina wateja 70, 000 tu.

Mamlaka ya Maji safi na maji taka DAWASCO inayohudumia wakazi wa Jiji la Dar na Mkoa wa Pwani ina wateja halali 70, 900 tu kati ya jumla ya wakazi wapatao Millioni Nne na Ushee hivi. 
Hayo yamebainishwa na Afisa Biashara Mkuu Bw Raymond Mndolwa leo wakti akitangaza kuanza kwa operesheni kata maji kwa wadaiwa sugu inayotarajiwa kuanza next wiki. 
Naomba kuwasilisha. 

Mbunge Aloyce Kimaro apata ajali

MBUNGE wa Jimbo la Vunjo, Aloyce Kimaro amenusurika kufa baada ya gari lake alilokuwa akisafiria kuparamia mawe yaliyopangwa barabarani na kupata ajali usiku wa kuamkia jana.

Habari zilizolifikia gazeti hili jana na kuthibitishwa na Kimaro na polisi zinasema kuwa, ajali hiyo ilitokea katika kijiji cha Mikongeni kata ya Lembeni wilayani Mwanga, Kilimanjaro kwenye barabara kuu ya Moshi-Tanga, akiwa safarini kutoka Dar es Salaam kwenda jimboni kwake.

Kwa mujibu wa habari hizo, wakati ajali hiyo inatokea, Kimaro alikuwa na rafiki yake Joseph Temu ambaye ndiye aliyekuwa anaendesha gari hilo aina ya Mercedes Benz akiwa na mkewe na watoto wake watatu. Katika ajali hiyo hakuna aliyejeruhiwa.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...