May 31, 2009
Amin, Usiamini huu ndo ukweli - dawasco ina wateja 70, 000 tu.
Mbunge Aloyce Kimaro apata ajali
MBUNGE wa Jimbo la Vunjo, Aloyce Kimaro amenusurika kufa baada ya gari lake alilokuwa akisafiria kuparamia mawe yaliyopangwa barabarani na kupata ajali usiku wa kuamkia jana.
Habari zilizolifikia gazeti hili jana na kuthibitishwa na Kimaro na polisi zinasema kuwa, ajali hiyo ilitokea katika kijiji cha Mikongeni kata ya Lembeni wilayani Mwanga, Kilimanjaro kwenye barabara kuu ya Moshi-Tanga, akiwa safarini kutoka Dar es Salaam kwenda jimboni kwake.
Kwa mujibu wa habari hizo, wakati ajali hiyo inatokea, Kimaro alikuwa na rafiki yake Joseph Temu ambaye ndiye aliyekuwa anaendesha gari hilo aina ya Mercedes Benz akiwa na mkewe na watoto wake watatu. Katika ajali hiyo hakuna aliyejeruhiwa.
May 30, 2009
Meneja Mtoto
Meneja YANK wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, Jackson Mmbando (kulia) akivalisha viatu mtoto Neema Ramadhani wa Asasi ya Good News Social Welfare cha vingunguti katika hafla ambayo Tigo ilitoa msaada wa magodoro, viatu, sare za shule, vifaa vya shule na misaada mingine ya kibinadamu kituoni hapo jijini hivi karibuni.
May 29, 2009
KELELE, the African Bloggers conference, coming soon
August 13-16th, 2009 in Nairobi, Kenya. Kelele is an annual African bloggers’ conference held in a different African city each year and run by an organising committee in that city.
Date : August 13-16th, 2009
Venue : Nairobi, Kenya
Organizer : Kelele organising committee
Kelele is the Kiswahili word for noise.
This gathering of African bloggers is organised in the tradition of historical African societies where everyone has a voice. With too many voices marginalised or simply ignored in Africa society today for a variety of reasons, the organizers believe that the internet in general and grassroots media tools such as blogs in particular represent the most powerful way in which to give Africans back their voice. They will be gathering to make a powerful, positive, inspirational noise that will be heard across the continent and beyond.
The theme of Kelele ’09 Nairobi is Beat Your Drum – we want to connect the traditional Africa method of getting your message across vast distances – the talking drums – to the 21st century and the tools we use today to get our message across, blogs and the Internet. We anticipate that this conference will continue to be called Kelele wherever it is held. For example Kelele Nairobi ’09, Kelele Accra ’10, Kelele Cairo ’11 and so on.
Uchumi kukua kwa kasi 2010 - BOT
Tanzania's central bank sees growth rebound in 2010.
Tanzania's economic growth could rebound in 2010 to more than 6 percent if the world overcomes the economic downturn, the central bank governor said on Friday.
Tanzania, the second largest economy in the five-nation East African Community bloc, expects growth of 5-6 percent this year, down from 7.4 percent in 2008, due to the effects of the global economic slowdown.
"We are expecting 2010 to start moving up again, the global recovery should certainly push us, maybe towards 6 (percent) and above," Benno Ndulu told Reuters on the sidelines of a regional meeting of central bank chiefs.
He said the downturn had hurt demand for the country's coffee, cotton, tourism and gemstones.
Tanzania, whose relative macroeconomic stability has made it popular among foreign investors, has suspended plans to raise funds through a Eurobond, but is hoping to get support from the International Monetary Fund to boost the economy. Source reuters
May 28, 2009
Mwakyembe Asikitishwa na taarifa ya Polisi..
Tujikumbushe - Idd Amin Dadaa alikuwa ajiitaje?
Kufuli mpya kwa kinadada
May 27, 2009
Masikini Liyumba!
Kero ya Daladala BONGO sasa Bye bye
May 26, 2009
Mjasiri
May 25, 2009
JK AREJEA
CCM yaibuka kidedea Busanda
Busanda, Nani Kucheka???
May 23, 2009
KWIKWI!
May 21, 2009
Mwakyembe alazwa MOI.
NEWS BREAK!!!..... MWAKYEMBE APATA AJALI MBAYA
TAARIAFA ZILIZOTUFIKIA NI KUWA NDEGE YA KUKODI TOKA IRINGA IKIWA NA DR MWAKYEMBE ITAWASILI SAA 9:30
May 20, 2009
Bongo mswano tu
May 19, 2009
Hichi KIJIJI CHA KILEO KI WAPI BONGO??
May 18, 2009
May 15, 2009
Musyoka atua Bongo
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...