July 9, 2011
Success Day in A town
Mhadhiri wa UDOM na mumewe Esther na Selestin wakitoa ushuhuda jinsi gani wamefanikiwa kupitia biashara ya mtandao ya FLP,
Mzee Baltazari toka Usa River akitoa ushuhuda jinsi gani Aloe Vera Gel imemponya na ugonjwa wa kisukari ambao alikuwa nao kwa muda mrefu na kujaribu kila gharama kubwa katika tiba bila mafanikio, Mzee huyu anamshukuru binti yake ambaye ndiye aliyemshauri kuhusu bidhaa hiyo.
FLP Success Day huwa ni siku muhimu sana kwa Network Marketers wote pitia kampuni hiyo kusherehekea mafamikio ikiwa ni pamoja kutambua rasmi waliopanda ngazi za mafanikio, huwa siku ya furaha na vicheko ambapo waweza kaa bila kujua muda umeendaje,
This time ilikuwa zamu ya Mkoa wa Arusha, shughuri imefanyika katika ukumbi wa AICC ukumbi wa Simba, imeshuhudia wanamtandao kadhaa wakitambuliwa kama Supervisors, Assistant Managers, Managers, Soaring Managers, Eagle Managers NK.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...