October 31, 2011

Waraka wa Godbless Lema =

JELA NI MAHALI PA KUISHI KAMA SABABU YA KWENDA HUKO NI VITA DHIDI YA UONEVU, UKANDAMIZAJI WA HAKI NA UTU WA BINADAMU.




Wapendwa wapiga kura wangu na Watanzania wenzangu.

Sina wakati mgumu kuchukua maamuzi haya yanayotokea leo. Upendo huu nilio nao kwa watu wa Arusha na nchi yangu ni sababu ya msingi ya maamuzi haya. Nimetishwa mara nyingi, rafiki zangu wametishwa, jamii ya watu duni imeendelea kuishi kwa mashaka na matisho kwa muda mrefu.

Katika mazingira haya, nikawaza sana kuwa anatakiwa kutokea mtu mmoja jasiri atakayeweza kuona thamani ya watu wengine. Huyo mtu anaweza kuwa wewe lakini kwa wakati huu siwezi kumsubiri tena na nimechagua kuwa mimi nikiamini kuwa utanikuta nikiendelea na safari ya ukombozi. Tupo wengi sana tunaotaka mabadiliko, haki na ukweli. Hata hivyo hofu, woga na mashaka yamepoteza thamani yetu yote ya maana ya kuishi .

 Waliofungwa kwa kuonewa na kuteswa, waliokosa chakula na kulala nje, waliokwenda hospitali na kukosa madawa, waliokosa ajira na kipato mpaka kujikuta wametoroka familia zao, waliopoteza matumaini ya maisha, waliopora utajiri wa nchi yetu kwa manufaa yao binafsi, walionunua haki na sheria dhidi ya wajane na wanyonge na kuwapora vipato vyao vidogo na mashamba yao, USIULIZE SABABU NINI!.

Nimetafakari sana na nikatambua kuwa sababu ni mimi pale nilipokuwa kimya wakati wajane na wanyonge wanaonewa.

NIliposikia wengine wanaandamana kupinga uovu, uonevu, wizi, ufisadi na ukandamizaji wa haki nikasema ni hao na wala sio mimi, kumbe nilipaswa kuwa mbele katika harakati hizi.


Nilipoona wenzangu hawawezi kupata matibabu nikasema mimi sio mgonjwa, nilipopata taarifa za rafiki zangu kufungwa kwa makosa yasiyo yao, nilipoona watoto wa mitaani wanaomba chakula, nilipoona wazee wamepoteza matumaini ya kuishi katika uzee wao, nilipoona vijana hawana ajira, nilipoona mabinti wasichana wadogo wameamua kufanya biashara ya ukahaba, NIKATAFAKARI,TENA NIKATAFAKARI, dhahabu zetu, almasi yetu, Milima na mabonde yetu, Tanzaninte yetu, samaki wetu, Uranium yetu, makaa ya mawe yetu,  utalii wetu, ardhi na kilimo chetu na zaidi utu na mahusiano yetu.

Na sasa siwezi kukaa kimya tena. NI afadhali vita inayotafuta haki na usawa kuliko amani inayopumbaza na kudhalilisha utu wa mwanadamu. Na katika msingi huu hofu na mashaka vimekosa thamani kwangu, sitamwogopa mtu yoyote, mwenye silaha yoyote, mwenye cheo chochote na wala sitaogopa jela yoyote katika kupigania haki, utu wa kweli katika jamii yangu. Wanafikiri wataendelea kutuogopesha kwa sababu wana jela na silaha, wanafikiri tutaendelea kuabudu uoga, wanafikiri wataendela kutunyanyasa bila sababu ya msingi LAKINI SISI TUNAJUA TUTASHINDA KWA SABABU HAKI TUNAYOIPIGANIA NI MAKUSUDI YA MWENYEZI MUNGU.


Leo nitakwenda jela kwa hiari yangu binafsi kwa siku kadhaa na si kwa NIA YA KUJITAFUTIA UTUKUFU WANGU bali ,” JELA NI MAHALI PA KUISHI KAMA SABABU YA KWENDA HUKO NI VITA DHIDI YA UONEVU, UKANDAMIZAJI WA HAKI NA UTU WA BINADAMU.


Kila mara nilipotishiwa nikagundua wanaonitishia, wananitishia kwa jela na mauti. Na mimi nikagundua na nikatambua ni afadhali kuishi miaka hamsini jela huku sababu ikiwa ni kupinga uonevu na ukandamizaji kuliko maisha ya woga na anasa yasiyo na kusudi katika kutetea utu na heshima ya mwanadamu mwenzangu.


Wale mlionitishia kunipeleka jela sasa nimetangulia kwa hiari yangu na wale mliobaki msiogope jela endeleeni kupigania ukombozi utakaoleta usawa katika nchi yenu. Watakaotubeza na kututukana wasameheni kwani wanahitaji ukombozi wa fikra, watakaotupongeza na kutuonea huruma wafundisheni ujasiri na waambieni mapambano bado yanaendelea tunahitaji umoja wao. Nitarudi mapema.  MSIOGOPE, MSIOGOPE, MSIOGOPE ,  MUNGU YUPO UPANDE WETU.

 

Mhe Godbless Lema (MB) – Arusha Mjini

31 Oktoba 2011.

It's a Challange to Succeed - Jim Rhon


It is a challenge to succeed. If it were not, I'm sure more people would be successful, but for every person who is enjoying the fruit from the tree of success, many more are examining the roots. They are trying to figure it all out. They are mystified and perplexed by what seems to be some strange, complex and elusive secret that must be found if ever success is to be enjoyed.


 While most people spend most of their lives struggling to earn a living, a much smaller number seem to have everything going their way. Instead of just earning a living, the smaller group is busily engaged in designing and enjoying a fortune. Everything just seems to work out for them. While the much larger group sits in awe at how life can be so unfair, complicated and unjust.


"I am a nice person," the man says to himself. "How come this other guy is happy and prosperous and I'm always struggling?" He asks himself, "I am a good husband, a good father and a good worker. How come nothing seems to work out for me? Life just isn't fair. 

hONGERA SANA SHAMIM MWASHA WA 8020 FASHION BLOG!

Hongera sana Dada Shamim kwa sherehe kubwa ya blog yako kutimiza miaka mitano, hii ni ishara ya jinsi gani mitandao hii ya kijamii ambayo mwanzoni ilipokelwa kwa hisia tofauti zaidi zikiwa ni hasi, inaweza leta mabadiriko chanya kwa jamii. Bongo Pix Blog inakupa Hongera sana. Tembelea hapa ujionee zaidi ilikuwaje!

October 29, 2011

Nape Nnauye, Six Mapunda watembelea Ubalozi wa Tanzania Washington Dc


Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape  Nnauye na Katibu Msaidizi Six Mapunda wakiwa na Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mwanaidi Maajar, alipofika katika ofisi za Ubalozi wa Tanzania mjini Washington, DC. Kulia ni Ofisa Ubalozi huo Suleiman Saleh. 

Yanga Hureeeeeeeeeeeeeeeeee

Yanga Afrika leo hii imewachapa mahasimu wao wakubwa Simba Sports Club bao moja bila katika mchezo wa ligi kuu ya vodacom katika Uwanja wa Taifa.

Cheka unenepa- Kibaki Raila Shairi on Katiba

Twiga Bancorp katika maonesho ya Miaka 50 ya wizara ya Fedha.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Twiga, Hussein Mbululo (kulia) akitoa maelezo ya huduma mbalimbali zitolewazo na Benki hiyo wakati wa Maonesho ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru yaliyoandaliwa na Wizara ya Fedha na kushirikisha taasisi zake zote. Maonesho hayo yanafanyika katika viwanja vya Manazi Mmoja jijini Dar es Salaam

Ofisa Masoko wa Twiga Bank, Adelbert Archard  akitoa akiwagawia wanafunzi vipeperushi na kuwapa maelezo juu ya Akaunti maalum ya Akiba kwa watoto , walipotembelea banda la Benki hiyo wakati wa Maonesho ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru yaliyoandaliwa na Wizara ya Fedha na kushirikisha taasisi zake zote. Maonesho hayo yanafanyika katika viwanja vya Manazi Mmoja jijini Dar es Salaam

Taswira toka Lagos kwa mujibu wa kamera yetu.












October 28, 2011

15 Commit Suicide Every Hour in India, Majority Victims Married


Fifteen suicides take place every hour in India and a majority (69.2 per cent) of the suicide victims are married while 30.8 percent un-married, according to latest government statistics. One suicide out of every 5 is committed by a housewife, said the statistics released in the form of a report.


"It is observed that social and economic causes have led most of the males to commit suicide whereas emotional and personal causes have mainly driven females to end their lives," the report, released by Home Minister P Chidambaram, said. 


Over 41 percent of suicide victims were self-employed while only 7.5 per were un-employed. More than one lakh persons (1,34,599) in the country lost their lives by committing suicide during the year 2010 and nearly 70.5 per cent of the suicide victims were married males while 67.0 per cent were married females, according to the report of the National Crime Record Bureau for 2010.


Kerala, Tamil Nadu, Karnataka Maharashtra and Andhra Pradesh accounted for 65.8 per cent of suicide victims in the age group 60 years and above. Suicides because of 'family problems' (23.7 per cent) and 'illness' (21.0 per cent) combined accounted for 44.7 per cent of total suicides, said the report. The percentage of suicides due to 'property dispute' and 'death of dear person' showed a relatively higher increase of 48.0 per cent and 28.9 per cent respectively. The overall male:female ratio of suicide victims for the year 2009 was 65:35. However, the proportion of boys:girls suicide victims (up to 14 years of age) was 52:48.


Among 25 cities, Jabalpur has reported the highest rate of 41.5 and Kolkata reported the lowest rate at 2.1. The pattern of suicides reported from 35 cities showed that 'hanging' (44.5 per cent), 'poisoning' (20.6 per cent) and 'fire/self-immolation' (12.6 per cent) were the means used the suicide victims in the cities.


Source: Siliconindia News

Ajari ya Deluxe Coach Kibaha, Marehemu aliteketea akijiona


Mabaki ya miili 12 iliyoteketea kwa moto katika ajali ya basi la Deluxe iliyotokea Kibaha mkoani humo wiki hii wakati wa mazishi. (Picha na Yusuph Badi).


SIMU YAMTAMBULISHA!
WAKATI mabaki ya miili ya watu 12 walioteketea kwa moto katika ajali ya basi la Deluxe yakizikwa jana, mmoja wa abiria waliokufa katika ajali hiyo, Salome Benjamin (24) alitoa simu yake itumike kutoa taarifa kwa ndugu zake.


Salome, mwanafunzi wa Chuo cha Mipango Dodoma, ameelezwa kuwa aliwapa mashuhuda hao simu hiyo na kuwataka wawasiliane na ndugu zake kwamba imeshindikana kwake kuokolewa hivyo wasihangaike.


Akisimulia jana jinsi mwanawe alivyokufa, baba mdogo wa Salome, Michael Isamuhyo alisema shuhuda aliyetumia simu ya mwanawe aliwaeleza kuwa, Salome kabla ya kufa, aliwataka wasihangaike.


Isamuhyo aliyezungumza na gazeti hili, alisema shuhuda huyo aliwaeleza kuwa Salome kabla ya kufa alitokea dirishani upande wa kulia na kupiga kelele ya kuomba msaada.

Shuhuda huyo kwa mujibu wa Isamuhyo, alisema walikwenda kumsaidia lakini walishindwa kwa kuwa alinasa sehemu ya miguu ndani ya basi hilo.


“Shuhuda alituambia kuwa, wakati wanamvuta, walibaini kuwa hawataweza kumuokoa kwa kuwa sehemu ya miguu ilinasa na alipoona hawezi kuokolewa, alirusha simu nje kwa shuhuda huyo.


“Baada ya kutoa simu hiyo, alimtaka atueleze sisi ndugu zake kuwa ameshindikana kuokolewa ili tusihangaike,” alieleza kwa uchungu Isamuhyo.


Baba wa Salome, Benjamin Magige akizungumzia msiba huo alisema; “Nimempoteza mtoto wangu wa pekee wa kike, nimebaki na mdogo wake wa kiume tu, walikuwa wawili pekee, nina uchungu sana.


“(Salome) alikuwa amalize chuo keshokutwa tu, ni maumivu makubwa kwa familia, mama yake kaja lakini hawezi kuzungumza, huu si wakati wa Serikali kufumbia macho ajali hizi, tuumie wote na tuhakikishe zinakoma,” alisema Magige huku akilia.



Maiti hao walizikwa katika makaburi yaliyochimbwa kwa kuambatana katika eneo la Air Msae walipozikwa abiria 25 waliokufa katika ajali ya basi ya Air Msae mwaka 1999, umbali wa kilometa takribani 10 kutoka ilipotokea ajali hiyo.

Source: Habari Leo.

Barrick not liked by local communities


AFRICA Barrick Gold (ABG) has no 'social' licence to operate North Mara Gold Mine, Energy and Minerals Parliamentary Committee Chairman, January Makamba declared here on Wednesday citing endless conflicts between the Canadian investor and surrounding communities.


"You are not liked here. You may have a legal licence to operate this mine but you don't have a social licence to operate it," Mr Makamba told the North Mara Gold Mine's top management shortly after meeting local leaders and artisanal miners from the villages located near the mine.


He challenged the mine to find lasting solutions on issues that have contributed to worsen its relationship with the surrounding villagers.


This was the first time for the Energy and Minerals Parliamentary Committee members to visit the troubled mine after the 2010 general elections.


North Mara Mine General Manager, Mr Basie Maree, said various initiatives were now put in place to improve relationship between the mine and surrounding villages.


"For example, we have spent 350,000 US dollars to upgrade a hospital here and we have donated an anaesthetic machine to the regional hospital.


"We are doing a lot of things not because we have to do but because we want to and the villagers have welcomed the new initiatives," the GM told the visiting parliamentary committee.


Local leaders and villagers have hailed Mr Maree, saying that he is the first general manager to show commitment to end conflicts between them and the mining company.


The parliamentary committee also expressed disappointment by absence of ABG senior staff from Dar es Salaam to respond to some of their questions during their visit at the mine which is located in the Northern Tarime District, Mara Region.


"We are very disappointed by the absence of senior management of ABG. We are not happy and we are going to take this matter to parliament," Mr Makamba said.

Source: Daily News


Read previous post on SOMEONE ELSE'S TREASURE HERE

Malkia Elizaberth afungua rasmi CHOGM 2011


Rais Jakaya Mrisho Kikwete (watatu kulia mstari wa pili) akiwa na baadhi ya wakuu wa nchi wanachama wa Jumuia ya madola wakimsikiliza mtu mwenye asili ya watu wa Australia ( anaeonekana kwenye kingamuzi) akielezea asili ya nchi hiyo leo mjini Perth nchini Australia wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa jumuia ya madola. -28 oktober 2011. (Picha na Mwanakombo Jumaa - Maelezo)

October 27, 2011

Ukistaajabu ya Musa....


Hizi ni picha mbili halisi ambazo zimepitishwa photoshop kuhifadhi maadili, niliwai kupost hiyo ya chini hapa na kule facebook, nimekuwa nikipata maoni mbalimbali, lakini wengi wakitaka kujua kama hii ni picha halisi, hivyo nimeamua kuweka picha halisi ambayo sikutaka kuiweka kabla, huyu mdudu amewekwa hapo kuhifadhi maadili tu, lakini akiruka ni balaaa, 


Maswali kadhaa wachangiaji wamekuwa wakioji,
- je ni nani dada huyu? 
- Je kupanda jukwaani akiwa hivyo ni masharti ya mmiliki wa bendi au ni matakwa binafsi? 
- Je ni nchi gani na hii ni bendi gani? 
- Mamlaka husika zinasemaje juu ya hili? NK.


Kwa hakika mimi sina majibu, isipokuwa picha hii ilitoka kule Jamii Forum ambako nako kulikuwa na mjadala wake mkubwa, tena iliwekwa pasipo hako kanzi. 


Wapo wasomaji waliojaribu kubashiri ama kusema kuwa hii ni Uganda lakini wakapishana kuwa ni bendi gani. 


Mimi sijui, iwapo kuna mdau yeyote mwenye kuweza kutujuza zaidi juu ya binti huyu na maswali yoote hapo juu itakuwa vyema. Karibuni wadau. 

Msaada kwenye TUTA!!!!

Picha kwa hisani ya Bukoba Wadau Blog.

Zitto Kabwe - Hali mbaya,



HALI ya Naibu Katibu Mkuu wa Chadema na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe ambaye alilazwa katika Hospitali ya Aga Khan, ilibadilika ghafla jana jioni kuhamishiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.Zitto alilazwa Aga Khan juzi jioni baada ya kusumbuliwa na maumivu ya kichwa kabla ya kuruhusiwa na kisha kurudishwa baada ya maumivu hayo kuendelea.

Kaka wa mbunge huyo, Salum Mohamed alisema jana jioni kwamba hali ya mdogo wake ilikuwa ikiendelea vyema lakini ilibadilika ghafla na kuanza kutetemeka.

“Hali yake ya Zitto imegeuka kuwa mbaya, anatetemeka mwili mzima na sasa tunampeleka Muhimbili kwa uangalizi zaidi,” alisema Mohamed.

Jana jioni, mwandishi wa gazeti hili alimtembelea Zitto Aga Khan jana majira ya saa kumi jioni na kumkuta akiwa anaendelea vyema. Zitto, ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), alisema maeneo mengine katika mwili wake yalikuwa yamepona isipokuwa maumivu ya kichwa.

Awali, Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano wa Chadema, Erasto Tumbo alisema Zitto anasumbuliwa na ugonjwa wa kipanda uso.

Aliwataka wanachama wake chama hicho, kumuombea kiongozi huyo ili apate nafuu na kushiriki kikamilifu kwenye vikao vya Bunge vinavyotarajiwa kuanza Oktoba 8, mwaka huu.

Source: Mwananchi.

Ajari ya Deluxe Coach - Miili 12 kuzikwa na Serikali


Picha naYassin Nicas Mtei


MIILI ya watu 12 walioteketea kwa moto katika ajali ya basi la Deluxe Coach iliyotokea Misugusugu mkoani Pwani juzi, watazikwa leo na Serikali kwa heshima zote katika kaburi moja katika eneo la Air Msae mjini Kibaha.

Eneo hilo ndipo walipozikwa watu waliopata ajali ya basi la Air Msae lililokuwa likitokea Arusha kuja Dar es Salaam miaka ya 1990.

Uamuzi huo umefikiwa jana katika kikao cha Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Pwani, iliyoongozwa na Mkuu wa Mkoa huo, Mwantumu Mahiza kutokana na miili hiyo kuharibika vibaya na kushindwa kutambulika.

Akizungumzia mazishi hayo jana, Mahiza alisema kabla ya maziko, miili ya watu hao itachukuliwa sampuli kwa ajili ya vipimo vya vinasaba (DNA) ili vifanikishe utambuzi wao.

Taarifa kutoka Hosptali Teule ya Tumbi, zilieleza kuwa hata wananchi waliokwenda kujaribu kutambua ndugu zao, walishindwa kufanya hivyo kutokana na kuharibika kwa miili hiyo ambayo baadhi imekuwa majivu.

Kutokana na hali hiyo, Mahiza aliwataka wananchi kutoa ushirikiano katika kufanikisha kuwatambua ndugu zao, kwa kupeleka vitu kama nguo ambazo ndugu zao walizitumia siku chache kabla ya ajali hiyo.

Habari Leo, 


JK akutana na Jumuiya ya Watanzania Australia.

 Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Mwenyekiti wa Watanzania waishio  Australia, Asimwe Kabunga katika mkutano huo.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (kulia) akipokea maua kutoka kwa Mweka Hazina wa Jumuia ya Watanzania waishio Australia, Maryam Powell walipokutana na wanajumuia  mjini Perth Australia.


 Rais Jakaya Kikwete alikutana  na wanajumuia  kuzungumza mambo mbalimbali ya maendeleo na kijamii. Rais yupo nchini Australia kuhudhuria  mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa jumuia ya madola ( Commonwealth Heads of Government meeting- CHOGM 2011,utakaoanza Oktober 28-30,2011. PICHA ZOTE/MWANAKOMBO JUMAA WA MAELEZO

Fibroids: Supplements provide permanent cure —Dr. Fadeyi

Fibroids: Supplements provide permanent cure —Dr. Fadeyi:

Definition according to Wikipedia. 

A uterine fibroid (also uterine leiomyoma, myoma, fibromyoma, leiofibromyoma, fibroleiomyoma, and fibroma) (the plural of myoma is myomas or myomata) is a benign (non-cancerous) tumor that originates from the smooth muscle layer (myometrium) and the accompanying connective tissue of the uterus.

Fibroids are the most common benign tumors in females and typically found during the middle and later reproductive years. While most fibroids are asymptomatic, they can grow and cause heavy and painful menstruation, painful sexual intercourse, and urinary frequency and urgency. Some fibroids may interfere with pregnancy although this appears to be very rare.

In the US, symptoms caused by uterine fibroids are a very frequent indication for hysterectomy. Fibroids are often multiple and if the uterus contains too many leiomyomata to count, it is referred to as diffuse uterine leiomyomatosis. The malignant version of a fibroid is extremely uncommon and termed a leiomyosarcoma




Read More HERE


Bahati njema ni kuwa Supplements hizi zilizomponya mama huyo zinapatikana hapa Tanzania pia, ikiwa kuna kina mama wenye matatizo hayo wanaweza kuwaona wasambazaji binafsi wa FLP na watawapatia hizo supplements, ikiwa haumfahamu msambazaji yeyote binafsi wa FLP, Nitwangie 0716927070, 0764927070, 0784475576 au nitumie email hapo juu, nitakuunganisha na aliye karibu yako, ili tuokoe kina mama wanaosumbuliwa na matatizo hayo. 

October 26, 2011

Kweli Biashara matangazo - hata hili la digrii fake!!!!!!


Buy Custom Made University Diplomas, Fake College Degrees and Transcripts of World Famous Universities. recommends this site
Spam
X

ReplyReply
More
sales@blackwells-miniatures.com sales@blackwells-miniatures.com via beta.control-access7.com to ted.pedersonjlhondoitjermiahsimpson.vernagene1229motoryachtmatewinnipegsports.hutchisonvaleabarchettiminereditorallsportssuper.pauldolleryreplayscomplexcoowned1010canadatoursolidverbalsandlerj1grahame.turner.buckvalleytvgelber.alextedimartin4kja8067republicaupdatepaulbickfordaanytimegarage.alloverheadhsnow82
show details 03:46 (13 hours ago)
Your friend Buy Custom Made University Diplomas, Fake College Degrees and Transcripts of World Famous Universities. (achizitii.firme@yahoo.com) has recommended this site to you, and sends you the following message:
************************************************************************************************************************

Buy fake/novelty university diplomas and degrees online.

We design our Degree or Diploma Certificates and Transcripts to look 99.99% identical to world famous originals including identical security grade transcript paper, identical water markings, raised-ink crests, embossed seals, correct card stock weight (60-100lb depending upon institution specifications). Most post-secondary institutions available.


---> http://fakenoveltydegree.co.cc <---


Nimetumiwa tangazo hili kwa email, jamaa wanajinadi kuwa ni wataalaumu wa kupika vyeti na kuwa vyao vyafanana asilimia 99.99 ya vile ORIGINO, kweli ukistaajabu ya Filauni utayaona ya ...

October 25, 2011

CITI Bank boosts Mwananyamala Maternal Health care.

 Meneja Uhusiano wa Citibank, Frank Kallaghe (kulia) akikabidhi vifaa vya matibabu ambavyo ni  'oxygen concentrator , two examination tables, two examination sreens, two examination lights, two B.P machines and 10 delivery kits' vyenye thamani ya milioni 9m/- kwa Mganga Mkuu wa Hospitali ya Mwananyamala, Dk. Sophinias Ngonyani ikiwa ni mchango wa wafanyakazi wa benki hiyo jijini Dar es Salaam kwaajili ya kusaidia  wakati wa uzazi ili kupunguza vifo vya kinamama na watoto wakati wa kujifungua. Kulia ni Katibu wa Klabu ya Citibank, Emma Mwenda. Zaidi tembelea DAILY MITIKASI BLOG

JK Apata NBC Debit Master Card


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akijaza fomu ili kupata kadi mpya ya Debit Master Card ya Benki ya NBC Ikulu, Dar es Salaam hivi karibuni. Kadi ya NBC Debit Master Card ilizinduliwa na benki hiyo Oktoba 18 mwaka huu. Wanaomsaidia Rais kutoka kushoto ni, Meneja Tawi la Corporate Bi. Jacqueline Sindano, Mkuu wa Shughuli za Kibenki, William Kallaghe na Mwakilishi wa Mauzo, Emmanuel Mseti.

Wahariri wakuu watembelea kiwanda cha Sukari Kagera


Wahariri wakuu wa vyombo mbalimbali vya Habari nchi mwishoni mwa juma walipata fursa kutembelea kiwanda cha Sukari cha Kagera katika ziara iliyoandaliwa na NSSF, Picha na Madanga Shaban Madanga.

Mkutano wa Mwalimu Nyerere na Vyombo vya Habari 1995 Part 4 of 10

Ina maana watanguzi wa Dr Shein walikuwa hawaudhurii baraza la Mawazi Bara?????


Shein breaks with predecessors on Union Cabinet membership


IN what is clearly a shift of opinion from his two immediate predecessors, the President of Zanzibar, Dr Ali Mohammed Shein on Monday took oath to become a member of the Union Cabinet.


The move demonstrated Dr Shein's commitment to work more closely with the Union government.


Soon after the swearing-in ceremony, Dr Shein attended a Cabinet meeting chaired by President Jakaya Kikwete at the State House in Dar es Salaam.


A statement issued by the Directorate of Presidential Communications said the swearing-in was in fulfillment of a constitutional requirement, which provides that the President of Zanzibar should also be a member of the Union Cabinet.


"This is in accordance with section 54 of the Constitution of the United Republic of Tanzania which names members of the Cabinet as including Vice-President, Prime Minister, President of Zanzibar and all the ministers," reads the statement.


Legal experts and political analysts have commented on the move, commending the Zanzibar President for the respect he has shown to the constitution.


The Attorney General, Justice Frederick Werema noted that Dr Shein's decision was wise as it fulfills a constitutional requirement.


"Some of his predecessors did not take oath, thus they never attended Cabinet meetings. But Dr Shein has decided it was crucial to be sworn-in and he has attended a meeting today," he said.


Justice Werema confirmed that some former presidents of Zanzibar did not take oath for the Cabinet.

"Unlike his father who was the first President of Zanzibar, Amani Abeid Karume was never sworn-in as a member of the Cabinet," he said.


Renowned lawyer and political analyst, Prof Issa Shivji said Dr Shein's move was commendable as it fulfilled a clause in the constitution.

"This is a great stride. It demonstrates that Dr Shein respects the constitution," he said.

Mr Thabit Abdulrahman, Secretary of RADEA (Rahaleo Development Association), said Dr Shein's oath was symbol of respect to the constitution.


Source: Daily News

Mlipuko wa pili Nairobi, waua mmoja na kujeruhi 13


KICC, Photo from smart phone, by Bernard Rwebangira



The 8pm explosion was believed to have been a grenade hurled at a moving matatu near a crowded terminus between Race Course and Landhies roads in Nairobi.

 The injured were taken to Kenyatta National Hospital for treatment as security officers drawn from the General Service Unit and the police cordoned off the scene opposite the former Jack and Jill Supermarket.

 The covered body of the dead person was still at the scene when the Nation team arrived.

 Witnesses said the grenade was thrown at a matatu full of passengers, but bounced off its window and exploded in a crowd of people rushing to board buses.

 A police officer, who sought anonymity, said they had collected the remains of the explosive device, which they identified as a hand grenade.

 The Kaka matatu terminus serves the Kiambu, Githunguri and Ndumberi routes and is close to St Peter Claver’s Church, the Salvation Army Church and is only a few metres from the normally crowded OTC stage, which serves matatus to Nairobi’s Eastlands.

 The last explosion at the OTC was the failed assassination attempt against then popular Nyandarua North MP JM Kariuki in 1975.

Source: Daily Nation.

Hapa ndipo unasema nimejenga, nina nyumba!

Billionaire's Home-Buying Binge - Yahoo! Real Estate:

October 24, 2011

Is there anything God cannot do?

Is there anything God cannot do?:


“I am the LORD, the God of all mankind. Is anything too hard for me? Jeremiah 32:27

Gaddafi's Body On Display In A Morgue

Mwili wa Col Gaddafi bado uko maonesho huku ukizidi kuaribika!

Libyans filed past Muammar Gaddafi's decomposing body for a fourth day on Monday, keen to see for themselves that the fallen strongman was dead, while talks dragged on among emerging local factions over disposing of the corpse.

Fighters guarding the darkening body and those of Gaddafi's son Mo'tassim and his former army chief had placed plastic sheeting under them as fluids leaked into the market cold store in Misrata, where they had been taken after their capture and killing in Gaddafi's home town of Sirte on Thursday.

With the door constantly opening to allow a procession of onlookers, in a grim parody of the lying in state typically accorded to deceased leaders, the refrigeration unit was failing to prevent a rapid decomposition and guards handed out surgical face masks to visitors to shield them from the stench.

Gaddafi and his son died after being captured, wounded but alive -- some of their final moments captured on video.

But few Libyans are troubled about either how they were killed or why they are being kept exposed to public view for so long. Islamic tradition dictates burial within a day.
"God made the pharaoh as an example to the others," said Salem Shaka, visiting the bodies on Monday. "If he had been a good man, we would have buried him.

"But he chose this destiny for himself."

Another man, who said he had driven 400 km (250 miles) to see the bodies, said: "I came here to make sure with my own eyes ... All Libyans must see him."

The killing of fallen autocrats is far from a novelty -- in Europe in living memory, similar fates befell Nicolae Ceausescu in Romania in 1989 and Benito Mussolini, who had created modern Libya as an Italian colony a decade before he died in 1945.

However, some of the anti-Gaddafi rebels' foreign allies have expressed disquiet about the treatment of Gaddafi both after his capture and after his death and worry that Libya's new leaders will not uphold their promise to respect human rights.

The burials have been held up by wrangling between the emerging factions within the National Transitional Council over where they should be interred. NTC leaders want Gaddafi buried at a secret location so the place does not become a shrine.
Source: News - Reuters, Photo- AP.
Jamani utendeeni haki mwili huu, si vyema kuendelea kuufanya kama sinema kwa kisingizio cha mgogoro wa mazishi, hii si haki, tukumbuke sote twaelekea huko huko, je itakuwaje siku zetu zikifika?  

October 23, 2011

HabariLeo | ‘Rushwa ya ngono inatumika kupata ubunge’

HabariLeo | ‘Rushwa ya ngono inatumika kupata ubunge’: 'via Blog this'

A wonderful story


A woman came out of her house and saw 3 old men with long white beards sitting in her front yard. She did not recognize them. She said "I don't think I know you, but you must be hungry. Please come in and have something to eat.""Is the man of the house home?", they asked. 
"No", she replied. "He's out.""Then we cannot come in", they replied. 
In the evening when her husband came home, she told him what had happened. 
"Go tell them I am home and invite them in!" 
The woman went out and invited the men in""We do not go into a House together," they replied. 
"Why is that?" she asked.
One of the old men explained: "His name is Wealth," he said pointing to one of his friends, and said pointing to another one, "He is Success, and I am Love." Then he added, "Now go in and discuss with your husband which one of us you want in your home." 
The woman went in and told her husband what was said. Her husband was overjoyed. "How nice!!", he said. "Since that is the case, let us invite Wealth. Let him come and fill our home with wealth!" His wife disagreed. "My dear, why don't we invite Success?"Their daughter-in-law was listening from the other corner of the house. She jumped in with her own suggestion: "Would it not be better to invite Love? Our home will then be filled with love!""Let us heed our daughter-in-law's advice," said the husband to his wife.
"Go out and invite Love to be our guest." 
The woman went out and asked the 3 old men, "Which one of you is Love? Please come in and be our guest."Love got up and started walking toward the house. The other 2 also got up and followed him. Surprised, the lady asked Wealth and Success: "I only invited Love, Why are you coming in?" The old men replied together: "If you had invited Wealth or Success, the other two of us would've stayed out, but since you invited Love, wherever He goes, we go with him. Wherever there is Love, there is also Wealth and Success!!!!!!" MY WISH FOR YOU...-Where there is pain, I wish you peace and mercy. -Where there is self-doubting, I wish you a renewed confidence in your ability to work through it. -Where there is tiredness, or exhaustion, I wish you understanding, patience, and renewed strength. -Where there is fear, I wish you love, and courage.

You have two choices right now:
1. Click this off
2. Invite love by sharing this story with all the people you care about.

I hope you will choose #2. I did.

You have two choices right now: 1. Click this off 2. Invite love by sharing this story with all the people you care about. 
I hope you will choose #2. I did.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...