June 15, 2009

WAPO FM KUMBURUZA MKULO KORTINI?

Kuna habari kuwa Waziri wa Fedha na Mambo ya Uchumi, Mhe. Mustafa Mkulo yuko mbioni kuburuzwa kortini kutokana na madai ya kumwaga mitusi 'live' kwenye kipindi kimoja cha redio ya Kikristo cha WAPO FM cha Jijini Dar.

Taarifa hizo zinadai kuwa hatua ya kuanza kwa mchakato wa kumburuza kortini Waziri Mkulo, inatokana na madai hayo kuwa alimwaga mitusi kwa mtangazaji wa redio hiyo ya WAPO FM aitwaye Anthony Joseph.

Zinadai zaidi taarifa hizo kuwa hadi sasa, tayari mhusika ameshakutana na wanasheria wake kwa ajili ya kuandaa mashtaka dhidi ya Waizri Mkulo.

Aidha, inalezwa zaidi kuwa uongozi wa redio hiyo nao umeshaanza kuchukua hatua, ikiwa ni pamoja na kumuandikia barua Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Saidi Mwema na kumueleza juu ya tukio hilo linalodaiwa kutokea Jumatano iliyopita.

Inadaiwa kuwa Mkulo alimwambia mwandishi huyo kuwa Watanzania wenye akili wanafuatilia bajeti kwani ndio mambo yanayowafaa na kwamba mambo ya DECI ayaulizie baada ya bajeti.

Inadaiwa kuwa mtangazaji alipojaribu kumuuliza iwapo ripoti hiyo ingewasilishwa baada ya kikao cha bajeti, Waziri Mkulo alimkatisha na kumjibu kwa sauti ya ukali kuwa ni 'stupid' (mpumbavu) na kuongeza kuwa : "... kama hilo ni muhimu kwako, jiulize mwenyewe, shenzi"

source: Alasiri

Liyumba, MAMBO MAZITO ZAIDI

Mahakama kuu ya TZ leo imefutilia mbali masharti ya dhamana ya Amatus Liyumba wa BOT iliyokuwa imetolewa na mahakama ya hakimu mkazi wa Kisutu na kuweka masharti mapya pia kuamuru kesi hiyo ipangiwe hakimu mwingine.
Sasa Liyumba pamoja na masharti mengine atatakiwa kuweka dhamana ya nusu ya hasara ya kiwango cha pesa anazotuhumiwa kuisababishia serikali ambayo ni Bilioni 221, HIVYO DHAMANA YAKE NI ZAIDI YA BILIONI 110,

PESA YA RUSHWA INAPOTAKA KUMEZWA!

Njemba mmoja mwanasheria wa serikali alikuwa na wakati mgumu huko Uganda baada ya kufumwa na pesa za Rushwa na kutamani kuzimeza pale alipozitia kinywani na kuanza kutafuna pasipo mafanikio.

Police detectives and residents of Gulu District were on Friday treated to drama when the district state attorney attempted in vain to chew and swallow money he had allegedly received as a bribe.

Mr Emmanuel Muwonge was arrested in his office minutes after he allegedly received Shs150,000 as a bribe from the family of a man identified as Dr Ojok, who is facing charges of assault. Mr Muwonge had allegedly promised to ‘kill’ the case.

His plan to destroy the evidence backfired because he failed to chew the first set of Shs10,000 notes he had put in his mouth.

A Police source who asked for anonymity because he is not allowed to speak to the press, said Mr Muwonge’s arrest came after the people he took a bribe from first recorded the serial numbers of the money with the Officer in Charge of Criminal Investigations, Mr Sylvano Kibwota, before handing over the cash.

Northern Uganda Regional CID officer Vincent Ouma said Mr Muwonge received the bribe in collusion with a Police officer attached to court only identified as Sgt. Omwa. He said the Police was still investigating the matter.

icheki hapa

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...