September 24, 2009
Mbagala kwalipuka tena!! wawili wafariki dunia
September 23, 2009
Mauaji ya Albino - Watatu wahukumiwa kunyongwa
September 19, 2009
"Njia yako kuelekea juu yawezekana iko chini"
NEC vs ZEC picha lingine???
September 18, 2009
Albino ajisaalimisha kwa Mganga wa Kienyeji!!
September 16, 2009
Bibi miaka 107 atafuta CHUO cha 24
September 15, 2009
10 things you should know before travelling to Tanzania
September 10, 2009
JK-"Sina urafiki wala Undugu na Fisadi"
JK Live
Hizi ni baadhi ya nukuu muhimu
Richmond na Kagoda
“Kwenye kupambana na Ufisadi na rushwa sina urafiki wala ndugu”
Ni kweli
Ni kweli Kuna matatizo katika kuwachukulia hatua maafisa waliohusika na sakata zima hili kikao cha bunge cha Novemba kitakuwa na majibu ya hili”
Nyalaka za dini
“Zimetustusha na kutusikitisha
Mafisadi Papa
Mafisadi wakubwa wana maarifa makubwa pia ya kujificha, hataivyo tunafanya juhudi kubwa kupamba nao”
Uhasama wa Wabunge wa CCM
“Kumekuwa na chuki mza wazi kati ya wabunge wa CCM na serikali
Kuacha kinywaji chako kwa ofu kuwa utawekewa kitu kibaya”
Tumeunda timu ya wazee watatu Mzee Mwinyi, Mkapa na Kinana ili kuangalia
Mafuta Zenji
Hatuna sababu ya kulumbana juu ya hili, linajadilika na laweza kuondolewa
Kesi ya Zombe
Sheria imechukiua mkondo wake, lakini sisi
Mikoa ya pembezoni
Kwangu hakuna mikoa ya pembezoni, juhudi za makusudi zinafanywa kuwaunganisha mikoa yote kwa lami, hasa Kigoma, Kagera na Lindi, wamechelewa lakini si kwamba tumewatupa, hakuna tuliyempuuza”
Uhuru wa Vyomba vya habari
“Mfumo wenye uhuru wa kusema, watu kutoa maoni
Migomo
“Migomo ni haki ya wafanyakazi, hainisumbui”
Kuwaziba midomo wabunge wa CCM
“Hakuna jitihada zozote za kuwaziba wabunge midomo, tunataka waseme, waikoseo serikali
Shule za kata
“Ni kweli kuna tatizo la utekelzaji wake lakini tunafanya jitihada za dhati kuondoa
Maisha Bora kwa kila Mtanzania
“Kwetu hii ni mambo mawili, kwanza huduma za kijamii na kiuchumi na pili kuongezeka kwa kipato, tunajitahidi katika huduma za jamii kama afya, elimu, maji na miundombinu na katika kuongeza kipato tatizo kubwa ni mfumuko wa bei, hili ni tatizo kubwa sana, na kiini chake ni bei za vyakula, tunapamba nalo hili tulikuwa na SDP na sasa tumeanzisah Kilimo Kwanza lengo likiwa kujaribu kupambana na hili.”
Safari za Nje.
“Nasafiri kwa manufaa ya Taifa, Misaada yote tuliyopata inatikana na safari hizi, ukijifungia ndani utapata wapi haya? Zinafaida nyingi
Muulize Rais
“Mfumo huu ni kitu kipya na kimekuwa na manufaa
HAYA NI BAADHI YA YALE NILIYOWEZA KUYANASA NA KUNUKU.
September 8, 2009
JK Opens FBME Bank A town Branch
MAUZO YETU KENYA YAPANDA! JE TWAUZA NINI HUKO?
September 7, 2009
Mtoto wa Mkulima ziarani Korea
September 2, 2009
Mkutano wa AU na Gadafi kutimiza miaka 40 ya utawala
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...