January 19, 2008
CHETIIIIIZ
Hivi wabongo wenzangu wangapi tuna vyeti vya kuzaliwa?
si tulio home hata nyie mlo ng'ambo wangapi mnavyo?
LEO hii huku Bagamoyo RITA wamezindua campaign ya kusajjili watoto wote wanaozaliwa ili kila mtu awe nacho kwani haki ya kila mtoto kuwa na cheti.
Wapowasemao kupata cheti cha kifo ni rahisi zaidi kuliko cha kuzaliwa mhh?
TWIGA STARS
Timu yetu ya taifa ya soka ya wanawake Twiga Stars imeanza kambi kwaajili ya maandalizi ya mechi yao dhidi ya Cameroon mwezi February.
Twiga stars wanaitaji mchango wenu wadau wa sports wa kila hali hili kuwawezesha kushinda mechi hii na pengine kuchukua uchamps,
shime wapenzi wote wa sports tuipe kila aina ya support timu yetu hii ili nani ajueaye yaweza kututoa kimasomaso,
kwa kutambua hilo blog hii itakuwa inaweletea maendeleo ya timu yetu hii kila siku na pia picha zake hazita wekwa lebo ili wana blogger wapenda soka watakuwa huru kuzitumia ktk blog zao hasa rafiki yangu haki ngowi ili wanaotembelea blog zenu wapaje ujumbe na wanaotaka kuchangia basi wawasiliane nami ili niwaeleze namna ya kuchangia kwa ajili ya timu yetu.
TIMU iko chini ya mtaalamu Charles Mkwasa akisaidiwa na Siwa kwa upande wa makipa.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Mgonjwa wa saratani akipata huduma Ocean Road Cancer Insititute (ORCI) asubuhi leo hii baada ya kununuliwa kwa vifaa vilivyokuwa vimeibwa y...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...