October 3, 2011

Igunga hali tete!

Wakati matokea rasmi hayajatangazwa ama yakichelewa kutolewa hali imezidi kuwa tete wilayani Igunga, kwa muijibu wa radio one na clouds fm kumekuwa na vurugu za hapa na pale, watu kukamatwa ama kutawanywa, maduka na migahawa yote imefungwa kwa kuhofia hali hiyo wakati zoezi la kujumlisha kura likiendelea. 

Kuchelewa kutangazwa kwa matokeo kunelezwa kuwa kunachangiwa na kuchelewa kufika kwa masanduku ya kura kutoka baadhi ya vituo kulikosababishwa na miundombinu mibovu wilayani humo. 

No comments:

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...