Picha kwa hisani ya Fransis Godwin.
July 11, 2010
Mgombea Mwenza wa JK Ni Dr Gharibu Bilali
Rais JK amemteua aliyekuwa mgombea wa urais Zanzibar na Waziri Kiongozi mstaafu Dr Gharibu Bilali kuwa mgombea mwenza kwa tiketi ya CCM na hivyo kuwa makamu wa rais mara baada ya uchaguzi mwezi Oktoba.
Je historia nyingine kuwekwa na CCM leo?
Baada ya CCM kumteua Dr Ali Mohamed Shein kuwa mgombea urais kwa upande wa Zanzibar na pengine kukaribia kuweka historia mpya kwa Visiwa hivyo kutawaliwa na mtu toka Pemba, kitendawili kingine na PENGINE historia mpya uenda ikawekwa muda si mrefu pale atakapotangazwa mgombea mwenza wa Rais Jakaya Kikwete.
Inabashiriwa na wachambuzi wa mambo na siasa za Bongo pamoja na mwelekeo na utawala wa JK kuwa uenda kwa mara ya kwanza akamteua mwanamke kuwa Mgombea mwenza na hivyo kupelekea kuwa na Makamu wa Rais wa kwanza mwanamke.
Je ikiwa hivyo ndivyo, ni nani basi mwanamama huyo??
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
Katuka mila nyingi za kiafrica ama kibantu ni utovu wa nidhamu kumwita mkubwa wako MWONGO ni kitendo cha dharau, nami nisingependa kabisa ku...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
Gadhafi na Obama With reported pockets of fighting remaining in Tripoli on Wednesday, the whereabouts of Lib...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The government of Uganda is planning to pay a compensation fee to the government of Tanzania for the help offered Uganda in the 1979 liber...
-
Edmark International founder, Chief Executive Officer and Chairman. Edmark Tanzania welcomes all entrepreneurs, business people a...