July 31, 2008
DEUS MALYA - ALIYEKUWA NA WANGWE
SEHEMU YA WARAKA WA CHADEMA KWA IGP MWEMA.
Hivyo basi , Chadema kama Chama kilichoathirika kwa kumpoteza Mbunge wake, Mwenyekiti wake wa Mkoa na aliyekuwa Makamu Mwenyekiti na hivyo kuwa na maslahi ya karibu sana katika uchunguzi huu, tunalitaka Jeshi la Polisi wakishirikiana na vyombo vingine vya Usalama kufanya uchunguzi wa kina kuhusiana na mambo yafuatayo;
1. Kujua huyu ambaye alikuwa (Deus Mallya) na Marehemu kwenye gari lake wakati anafariki ni nani na anafanya shughuli gani.
2. Deus Mallya alienda Dodoma kufanya shughuli gani na ana uhusiano gani na Marehemu na au Familia ya Marehemu.
3. Ndugu Deus Mallya alikuwa amekaa kwenye kiti gani wakati ajali inatokea.
4. Ni nani alikuwa anaendesha Gari wakati ajali na hatimaye umauti unamkuta Mheshimiwa Chacha Wangwe.
5. Ni mazingira gani yaliyopelekea na au kusababisha ajali hiyo kutokea .
6. Tunataka Polisi wachukue hatua stahiki za kisheria ili Deus Mallya akaisaidie Polisi na kuhojiwa kwa kina juu ya suala hili kwani maelezo yake yana utata mkubwa sana.
7. Jeshi la polisi liitoe ripoti ya uchunguzi huo mapema na kuiweka ripoti hiyo hadharani.
Tunapendekeza hatua hizo zichukuliwe mara moja kwani tunaamini kuwa kifo hiki kimeghubikwa na utata mkubwa sana na haswa kutokana na maelezo ambayo yamekuwa yakitolewa na aliyeshuhudia ajali (Deus Mallya) pamoja na watoto wa marehemu.
WANGWE - MAZISHI YAHAIRISHWA
MAZISHI YA ALIYEKUWA MBUNGE WA TARIME CHACHA WANGWE YAMEHAIRISHWA KUSUBIRI UCHUNGUZI WA MAITI,
KAKA YAKE MAREHEMU PROF SAMWEL WANGWE AMENUKULIWA AKISEMA KUWA NDUGU WAMEFIKIA UAMUZI WA KUTOZIKA MWILI HUO KUTOKANA NA UTATA WA JINSI AJARI HIYO ILIVYOTOKEA, MAELEZO YA ALIYEKUWA NA MAREHEMU BW DEUS MALLYA PAMOJA NA TAARIFA ZA VYOMBO VYA HABARI VILIVYO NUKUU SHUHUDA WA KWANZA WA AJILI HIYO ENEO LA PANDAMBILI DODOMA.
July 30, 2008
GADAFI
JK NA RAVALOMANANA
July 29, 2008
BURIAN CHACHA WANGWE
SHUGHURI ZA KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MBUNGE WA TARIME MAREHEMU CHACHA ZAKAYO WANGWE ZINAENDELEA HUKO BUNGENI MUDA HUU.
\
RAIS JK ANATARAJIWA KUONGOZA VOINGOZI WA SERIKALI NA WABUNGE WOTE KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA mpiganaji WANGWE KABLA MWILI WAKE HAUJASAFILISHWA KWA MAZISHI TAREHE 31 JULAI HUKO JIMBONI KWAKE.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI.
July 28, 2008
RIP Bhoke Munanka
Mazishi ya Mzee Bhoke Munanka yanatalajiwa kufanyika kesho ktk makaburi ya Kinondoni Jijini Dar,
Marehemu Munanka alikuwa ni moja ya mawaziri wa awamu ya kwanza ambaye amefanya kazi na Hayati Baba wa Taifa kwa ukaribu sana.
Lakini Mzee huyu atakumbukwa zaidi (japo uwa haisemwi sana ua haijawai kusemwa) kwa uamuzi wake wa kiadilifu wa kuachia madaraka mara mbili (1952 na 1972) ili aweze kufanya shughuri zake za kibiashara hasa pale ilipoenekana kuwa kuna mgongano wa maslai na shughuri ya umma.
Kulingana na Mzee Kaduma amabaye amewai kufanya kazi nae anasema huu ni uamuzi wa busara ambao Mzee Munanka aliufanya na ambao kama viongozi wa sasa wanapaswa kuufuta.
July 27, 2008
CITY WATER YABWAGWA TENA
ADADI, MAHITA NA MWEMA
July 25, 2008
WAGONJWA WAKOSA HUDUMA THI.
MAISHA YA VICKY NTETEMA YAKO HATARINI.
BAADA YA KUWAUMBUA WAGANGA (WACHAWI) WANAOTUMIA AU KUAGIZA WATEJA WAO KULETA VIUNGO VYA MAALBINO KWA TIBA NA KUPATA UTAJIRI SASA DADA HUYU SHUPAVU MAISHA YAKE YAKO HATARINI.
By Vicky Ntetema
BBC News
I am living in hiding after I received threats because of my undercover work exposing the threat from witchdoctors to albinos living in Tanzania.
Mine is just one life, compared to the several thousand people living with albinism in the country.
If nothing is done about this network, they could kill every albino in the country - estimates vary between 4,000 and 173,000.
This year, at least 25 people with albinism have been killed, mostly in the Lake Victoria Zone, especially the Mwanza, Shinyanga and Mara areas.
They are being killed because local witchdoctors say their body parts provide the potent ingredient for magic charms, which many local people use to bring success in business and love.
The bodies are left limbless and sometimes with a huge hole in the neck, from where blood would have been drained.
SOMA HAPA. http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/7523796.stm
July 24, 2008
THI NSSF SAGA
JK AOMBWA KUINGUILIA KATI THI NA NSSF
"Jamani Rais Kikwete okoa maisha ya mwanangu"
Mjane Martha Ndunye akitoa machozi kumwomba Rias Kikwete aingilie kati sakata la kuamishwa kwa wagonjwa wa THI na NSSF kwa kudaiwa pango linalofika bilioni 2,
mwanangu Kelvin (20) aligunduliwa na matatizo ya moyo akiwa na miezi mitatu tu na nimeangaika naye hospitali nyingi sana bila mafanikio mpaka nilipofika hapa kwa Dr Masau ndipo alipopata nafuu, sasa leo hii mwataka kumfukuza huyu daktari hapa je mwataka twende wapi? au mwataka kuniulia mwanangu pekee?
KESHO NDO SIKU YA MWISHO KWA DR MASAU NA WAGONJWA WAKE KUFULUMUSHWA KTK MAJENGO HAYO.
kwa wale wenye kumbukumbu hapo ndipo ilipokuwa TAZARA CLUB Ambapo watu walikuwa wanajisha kila wikendi,
July 23, 2008
KUFA KUFAANA KWELI.
DR FERDINAND MASAU MWANZILISHI WA TAASISI YA MOYO (THI) WAKATI THI NA WAGONGWA WAKE WAKIAMRIWA KUONDOKA KTK MAJENGO YA KUKODI YA NSSF, HUKO INDIA AMBAKO NDIKO WAGONJWA WETU UPELEKWA WANAJIVUNIA MAPATO YATOKANAYO NA WANACHOKIITA UTALII WA MATIBABU NA KUWA WANATARAJIA KUINGIZA MABILIONI KIBAO KILA MWAKA. New Delhi: India is set to earn Rs.80 billion ($1.87 billion) a year in foreign exchange from medical tourism by 2012, according to a study by the Associated Chambers of Commerce and Industry of India (Assocham).
India's medical tourism can become a lead foreign exchange earner and the earnings will grow from the existing Rs.35 billion annually to Rs.80 billion a year by 2012, Assocham president Venugopal N. Dhoot said.
WATOTO TUWAMBIE UKWELI JAMANI!
A small girl walks-in while her father is dressing in the bedroom.
She looks at his privates and points at his person and asks"Dad what's that thing between your legs?" Dad replies "Idon't know".
She goes to kitchen and finds her mum "Mum what isthat long thing between dad's legs?" The mum instead of explainingthings to her she replies "I don't know"
A week later when the mum was coming from work the little girl runs toher and says "Mum you refused to tell me the name of that thing betweendad's legs.
I have finally figured it out on my own.IT'S A TOOTHBRUSH".
The mum laughs then asks her "How do u know that?"The girl explains "....when I came back from pre-school this morning Isaw the maid kneeling in front of dad, brushing her teeth with dad's toothbrush and sure enough there was TOOTHPASTE in her mouth ".
July 22, 2008
NOTI YA BILLION MIA!!!!
ZIMBABWE- MUGABE, TSVANGIRAI WATIA SAHIHI.
WAKATI BENI KUU YA ZIM IKITOA NOTO MPYA YA ZIM DOLLAR BILLION MIA MOJA NA KUTANGAZA MFUMUKO WA BEI WA ASILIMIA MILIONI MBILI NA USHEE, WAHASIMU WAKUU WALIKUWA WAKIKUTANA KUTIA SAHIHI MUAFAKA WA MWANZO WA MAZUNGUMZO ILI KUWEKA MAMBO SAWA NCHINI UMMO AMBAKO SASA MKATE TU WAGHARIMU KIASI CHA ZIM DOLA MILION 900.
HARARE, Zimbabwean President and ZANU-PF leader Robert Mugabe (L2 Front), leaders of two factions of the opposition Movement for Democratic Change (MDC) Morgan Tsvangirai (R2 Front) and Arthur Mutambara (L1 Front) attend the signing ceremony in Harare, capital of Zimbabwe, July 21, 2008. Zimbabwe's ruling ZANU-PF and the two factions of the opposition Movement for Democratic Change (MDC) signed here Monday a deal, paving the way for formal talks to end the political crisis in the country. South African President Thabo Mbeki oversaw the signing of the Memorandum of Understanding (MOU) between Robert Mugabe and the leaders of the two MDC factions, Morgan Tsvangirai and Arthur Mutambara, at Rainbow Towers Hotel in Harare. (Xinhua)
July 18, 2008
Nelson Mandela at 90.
Happy 90Birth Day the greatest man of the century and true icon Nelson Mandela, we realy proud of you Madiba, may the almighty grants you more 90yrs.
HAKIKA MZEE MADIBA NI MMOJA KATI YA VIONGOZI WA KARNE TOKA AFRICA AMBAO NI MFANO WA KUIGWA.
SI RAIHISI SANA KUMWELEZEA MZEE MANDELA UKAMMALIZA NA HASA KTK KABLOG KAMA HAKA, LAKINI ITOSHE KUSEMA KUWA HUYU NI MMOJA YA VIONGOZI WACHACHE SANA DUNIANI NA BARANI AFRICA AMBAO UNIFANYA NITEMBEE KIFUA MBELE NA KURINGIA UAFRICA WANGU,
MUHAS HOSTELS INATISHIA MAISHA!!!
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...