October 22, 2009

Dr Shein @ NIMR

Daktari wa Utafiti wa magonjwa ya Binaadamu katika Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa magonjwa ya Binaadamu NIMR Dk. Ester Ngadaya (kushoto) akimueleza Makamu wa Rais Dk.Ali Mohamed Shein juu ya kazi mbalimbali za utafiti wanazozifanya katika Taasisi hiyo, wakati Makamu wa Rais alipotembelea kwenye Ofisi za Tasisi hizo zilizopo Mtaa wa Luthuli Dar es salaam leo. Wa pili kushoto Naibu Waziri wa Afya Dk. Aisha O. Kigoda, kushoto Kaimu Meneja Mkuu wa Taasisi hiyo Dk. Mwele Malechela.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...