May 4, 2010

TUCTA WASITISHA MGOMO

Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) mchana huu imetoa tamko la kuahirisha mgomo uliokuwa umepagwa kufanyika kuanzia kesho ili kusubiri mkutano wa majadiliano tarehe nane ya mwezi huu.
Tamko hilo lililotolewa mbele ya waandishi wa habari limesema sababu za kuahirishwa kwa mgomo huo ni kuruhusu majadiliano ya tarehe nane kama yalivyosemwa na Rais.

JK- TUCTA WAONGO, WANAFIKI, WANATUMIWA, WANA HIANA....

“TUCTA ni waongo! Tucta ni wanafiki! Tucta wana hiana!... wafanyakazi watakaogoma tarehe 5, watakuwa wamekiuka sheria na watachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria na kanuni za Serikali. Na wale wafanyakazi wataokwenda kazini lakini wasifanye kazi, pia watachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.
“Kiongozi bora ni yule anayewaeleza wananchi wake ukweli hata kama ukweli huo utakuwa unauma.”
Hiyo ni kauli nzito ya Rais Jakaya Kikwete, alipozungumza na Taifa kupitia wazee wa mkoa wa Dar es Salaam jana, kuhusu mgomo ulioitishwa na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) kuanzia kesho, kwa madai kuwa Serikali imepuuza mapendekezo ya kuongezwa kwa kima cha chini ya mshahara kufikia Sh 315,000 kwa mwezi.
SOMA ZAIDI KAULI ZA JK vs TUCTA
TUCTA NI WAONGO - JK
JK - NIPO TAYARI KUKOSA KURA ZENU!
JK - MAY 5 STRIKE ILLEGAL
HAIJAPATA KUTOKEA
JK - STRIKE AND YOU'RE FIRED!
KIKWETE AZIKATAA KURA ZA TUCTA

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...