April 1, 2011

TANZIA - Adam Lusekelo is NO MORE!

Taarifa zilizotufikia punde na kuthibitishwa na baadhi ya wafanyakazi wenzie TSN ni kuwa Mwandishi Gwiji Adam Lusekelo hatunaye tena, 

Lusekelo Mwandishi wa siku nyingi akiwa na column yake maarufu iliyokuwa ikitoka Daily News na Sunday News "With a Light Touch" amefariki dunia usiku kuamkia leo katika Hospital ya Hindu Mandal, 

Taratibu za mazishi zinafanywa nyumbani kwake Ubungo karibu na kanisa la Ufufuo na Uzima. 



Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema Peponi,


Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina la Bwana lihimidiwe. Amen

NOTI MPYA VS ZA ZAMANI NANI ZAIDI?

 Noti mpya ndo ipi hapa??
Thamani ni moja mtazamo tofauti, sijui ni kwanini tumebadilisha pesa! ni mwezi wanne sasa toka kuingizwa kwa noti mpya lakini hakuna mpango wa kuziondoa zile za zamani kwa tangazo la BOT linalotoka kila mara magazetini ni kuwa noti za zamani na mpya zatumika sambamba, mpaka lini? mi sijui. 

Je hatuwezi kuingia kwenye Genius Record mwaka huu kuwa moja ya taifa lenye noti mbilimbili? angalau ingetupa sifa kiaina hivi. 

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...