January 21, 2011

Macha's Daughters

Photo collage, ubarikio wa Scolastica Elidadi Macha all the way from Kongowe-Kibaha.
Posted by Picasa

Kisa cha Ngombe, Mzee na mtoto mwenye hekima

Niliwai kusoma hadithi hii mahali fulani, kwa bahati isiyo njema sikumbuki ni kitabu gani, anyway hadithi yenyewe iko hivi:-
Mzee mmoja mfugaji akiwa na mwanae mdogo alikwenda kuchunga mifugo yake wakiwamo Ng'ombe kadhaa, katika kundi lile ng'ombe mmoja alizaa kandama hukohuko polini, ilipofika jioni ilibidi kuwarudisha mifugo yake zizini, wote waliongoza njia isipokuwa yule ngombe na ndama wake, ndama yule baada ya miguu yake kupata nguvu alikuwa anarukaruka tu kule polini.
Mzee yule alikuwa akiangaika kumchapa ngombe mzazi ili aongoze njia ya zizini lakini ngombe yule hakuwa tayari kwani ndama alikuwa bado akivinjali polini kule, Mzee aliangaika kwa kitambo bila mafanikio huku mwanae akimwangalia tu.
Mwishoe mtoto akamshauri babaye, akamwambia- "Baba kwanini usimbebe yule ndama? kwani mamaye atakufuta tu"
Mzee akumwelewa kwanza mtoto wake aliendelea kidogo kumlazimisha ngombe wake, mwishoni akaamua kujaribu kufuata ushauri ule lakini kwa namna ya kujifanya yeye ndo kaamua, akambeba ndama na hatimaye ng'ombe naye akamfata mpaka zizini.
Jambo lile la kushauriwa na mtoto wake tena wa miaka kumi tu lilimkwaza sana mzee yule alifikiri saaana mwishowe akafanya kitendo cha kijinga, akaamua kujinyonga, kisa, kushauriwa na mtoto mdogo.
Sitarajii baba zetu nao watafanya kitendo cha kijinga kama cha mzee mfugaji yule, sitarajii, nina hakika baba zetu leo hii wanabusara sana, wataona ushauri wa mtoto ni changamoto ya kujitafakari na kuamua kwa busara zaidi sasa na wakati ujao pi.
Hongereni sana VIJANA kwa kukataa kukaa kimya.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...