September 1, 2014
NGUVU YA UNABII - VIDONDA VYATOWEKA GHAFLA.
Hakika unabii unapotolewa na ufumbuzi unakuwa umepatikana, ndivyo ilivyokuwa pale vidonda vya tumbo vilipopona ghafla kwa kupitia neno la kinabii toka kwa Mtu wa Mungu Nabii BG Malisa.
Kupitia huduma ya kinabii watu wengi wamefunguliwa, waliokuwa wamepooza wametembea tena, waliokuwa na uziwi wakasikia tena, matatizo ya macho yakaisha na aliyekuwa na vidonda vya tumbo.
Katika siku ya kwanza ya semina ya siku 8 za kuvunja maagano Mtu wa Mungu Nabii BG Malisa katikati ya ibada alitoa unabii juu ya jina Esther na kuwa amekuwa anasumbuliwa na vidonda vya tumbo, alitoka dada mmoja na kukiri kuwa anaitwa Esther na kuwa amekuwa tatizo la vidonda vya tumbo kwa muda wa miaka sita sasa.
Mara baada ya unabii huu, Esther alipona papohapo na kuja kuthibitisha uponyaji wake mbele ya kanisa kwa kunywa soda ya coca, anasema hapo kabla asingeweza kunywa soda ya cocacola au yoyote ya gesi kwa muda wa miaka saba, alikatazwa na madaktari, na iwapo angekunywa, angeumwa sana tumbo na kutapika.
Kesho yake Esther alirudi akiwa mwenye furaha baada ya kwenda hospitali kupima na kuambiwa kuwa hakuwa tena na tatizo la vidonda na kushuhudia kuwa tumbo halijamuuma kabisa.
Kwa shuhuda, ishara, maajabu na miujiza tembelea
www.facebook.com/ukombozichurch
www.youtube.com/saayaukombozi211
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...