September 1, 2014
NGUVU YA UNABII - VIDONDA VYATOWEKA GHAFLA.
Hakika unabii unapotolewa na ufumbuzi unakuwa umepatikana, ndivyo ilivyokuwa pale vidonda vya tumbo vilipopona ghafla kwa kupitia neno la kinabii toka kwa Mtu wa Mungu Nabii BG Malisa.
Kupitia huduma ya kinabii watu wengi wamefunguliwa, waliokuwa wamepooza wametembea tena, waliokuwa na uziwi wakasikia tena, matatizo ya macho yakaisha na aliyekuwa na vidonda vya tumbo.
Katika siku ya kwanza ya semina ya siku 8 za kuvunja maagano Mtu wa Mungu Nabii BG Malisa katikati ya ibada alitoa unabii juu ya jina Esther na kuwa amekuwa anasumbuliwa na vidonda vya tumbo, alitoka dada mmoja na kukiri kuwa anaitwa Esther na kuwa amekuwa tatizo la vidonda vya tumbo kwa muda wa miaka sita sasa.
Mara baada ya unabii huu, Esther alipona papohapo na kuja kuthibitisha uponyaji wake mbele ya kanisa kwa kunywa soda ya coca, anasema hapo kabla asingeweza kunywa soda ya cocacola au yoyote ya gesi kwa muda wa miaka saba, alikatazwa na madaktari, na iwapo angekunywa, angeumwa sana tumbo na kutapika.
Kesho yake Esther alirudi akiwa mwenye furaha baada ya kwenda hospitali kupima na kuambiwa kuwa hakuwa tena na tatizo la vidonda na kushuhudia kuwa tumbo halijamuuma kabisa.
Kwa shuhuda, ishara, maajabu na miujiza tembelea
www.facebook.com/ukombozichurch
www.youtube.com/saayaukombozi211
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
A very rare opportunity. With Outstanding Entrepreneur, Great Visionary, Motivational Speaker, Founder, Chairman and CEO of Edmark Inte...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
Umati wa watu unaozidi kufurika huko Loliondo kwa dhumuni moja tu, kupata dawa ambayo inaaminika inatibu magonjwa sugu ama yaliyoshin...