February 16, 2009
"SIMU POCHI" NA ZAIN au ZAP
LILIYEYUKAJE HILI DUBWANA??????????
Tutafakali. Wadau niliposikia kuibwa/kutoweka au kuyeyuka kama barafu au mafuta kikaangoni isia zangu zilinituma kuwa hako kajifaa katakuwa ni kadogo tu pengine ukubwa wa simu ya kiganjani labda, haikunijia akili kuwa ni lidubwana likubwa kiasi hicho (yaani hiyo hizo kama screen mbili za kompyuta nyeupe na nyeusi mara mbili) ukweli sikuamini macho yangu nilivyonyeshwa na wahusika kuwa zilizoibwa ni kama hizi hapa!!!!!!!!!!
Cha kushangaza zaidi ni kuwa aina hii ya mashine kwa Afrika Mashariki na kati ni Tanzania tu ndo tunayo na huu ulikuwa ni msaaada wa shirika la nguvu za atomic la dunia na ilizinduliwa na JK Mwaka jana Mei tu, yaani hata mwaka mmoja bado toka tusaidiwe mashine hii.
Sitaki kutia chumvi wala kumnyooshea mtu kidole kwani polisi inaendelea na uchunguzi wake na sijui lini watamaliza, lakini nna maswali machache wadau ambayo naomba tushauriane kwa wema tu,
1. Mijidubwana mikubwa kama hii inawezawezaje kuyeyuka ka barafu hapo mezani pasi kuonekana na awaye yeyote????
2. Ikiwa ni Tz tu tunayo na tena hapo tu ORCI katika EAC and C, je yu wapi mteja au mseti ilikopelekwa hiyo mimashine? au inamatumizi gani mengine mbali na kutibu saratani??????
3. Hivi awaye yote alokuja chukua na kutoweka na mashine za namna hiyo au ukubwa huo alizibebabebaje? kwa lambo?? au katia mfukoni tu??????
4. Utaifa uko wapi kwa Watanzania wa leo jamani????? unapoiba kifaa kinachookoa maisha ya nduguzo, rafikizo, kaka na dadazo au mama na baba yako je uitwe nani????????? muuaji????? sijui ila yupo ajuaye.
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
It has been a while now that my life had taken on a sense of expectation. It has been almost 3 months since I met Russell Simmons at a char...
-
It’s not important to hold all the good cards in life. It`s important how well you play the cards which you hold. Often, when we lose...
-
Tanzania denies it’s slowing down integration in East Africa. APA-Kampala (Uganda) Members of the East African Legislative Assembly from...
-
LONDON (Dow Jones)--U.K. defense giant BAE Systems PLC (BA.LN) Tuesday was fined GBP500,000 for improper accounting in relation to the award...
-
Edmark International founder, Chief Executive Officer and Chairman. Edmark Tanzania welcomes all entrepreneurs, business people a...
-
On Tuesday, 7th July we witnessed the peak of the Saba Saba festivities. I never go to the Dar es Salaam International Trade Fair, these day...
-
Gadhafi na Obama With reported pockets of fighting remaining in Tripoli on Wednesday, the whereabouts of Lib...
-
The government of Uganda is planning to pay a compensation fee to the government of Tanzania for the help offered Uganda in the 1979 liber...