April 30, 2009

Mwalimu Mwakasege Birmingham

Mwalimu C Mwakasege na Mrs wake watato somo huko Birmingham kama ratiba inavtoonesha. 

April 29, 2009

Misri kuchinja KITIMOTOOOZ WOTE.

Egypt orders slaughter of all pigs over swine flu

CAIRO – Egypt began slaughtering the roughly 300,000 pigs in the country Wednesday as a precaution against swine flu even though no cases have been reported here, infuriating farmers who resisted the move and demanded compensation.

The measure was a stark expression of the panic the outbreak is spreading around the world, especially in poor countries with weak public health systems. Egypt responded similarly in recent years to an outbreak of bird flu, which is endemic to the country and has killed two dozen people.

At one large pig farming center just north of Cairo, farmers refused to cooperate with Health Ministry workers who came to slaughter the animals and the workers left without carrying out the government order.

"We remind Hosni Mubarak that we are all Egyptians. Where does he want us to go?" said Gergis Faris, a 46-year-old pig farmer in another part of Cairo who collects garbage to feed his animals. "We are uneducated people, just living day by day and trying to make a living, and now if our pigs are taken from us without compensation, how are we supposed to live?"

Most in the Muslim world consider pigs unclean animals and do not eat pork because of religious restrictions. They are banned entirely in some Muslim countries including Saudi Arabia, Bahrain, Kuwait, Qatar, the United Arab Emirates and Libya.

moreeeeee

Manji amdai MENGI fidia ya Sh MOJA.

MFANYABIASHARA maarufu Yusuf Manji amefungua kesi ya aina yake dhidi ya Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi akimtaka amlipe Sh Moja kama fidia kwa kumkashifu kumwita yeye ni miongoni mwa mafisaidi Papa.
Manji amefungua kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kupitia kwa kampuni ya uwakili ya Muganda, Kamugisha na Bwana, akiomba alipwe kiasi hicho cha fedha au kiasi kingine ambacho kitatamkwa na mahakama kutokana na kumwita fisadi papa.

Mbagala leo hakulaliki

Wnajeshi wakikusanya mabomu yaliyolipuka au mabaki yake.
Kila mtu na roho yake, sijui wataenda wapi, lakini wameonywa wakae mbali na maeneo hayo hadi hapo hali itakapotulia.

MABOOOM - Tunapodhani kila kitu DILI

Kamishina wa Polisi Paul Chagonja akitoa maelezo kwa waandishi kuhusiana na Mabomu "yanayoendelea" kulipuka huko ktk ghala la siraha la JWTZ Mbagala Kizuiani ambapo watu wapatao wanne wanasadikiwa kufa hadi twaenda mitamboni, Wakazi wa huko wametakiwa kutorejea kwanza makwao kwa hofu kuwa bado mabomu zaidi uenda yakalipuka.
Wakti hayo yakiendelea vijana hawa walikamatwa maeneo hayo wakijisevia makasha haya kwa kudhani ni kuwa ni DILI kwao na hasa ikizingatiwa biashara ya vyuma chakavu ilivyoshamili hapa Bongo.
Mhh hatari kwelikweli.

April 28, 2009

Kesi ya Zombe, Mshtakiwa wa 12 adai kushuhudia mauaji.

MSHITAKIWA wa 12 katika kesi inayomkabili aliyekuwa Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Abdallah Zombe na wenzake wanane, Bakari Rajab, ameeleza alivyoshuhudia mauaji ya wafanyabiashara watatu wa madini na dereva mmoja katika msitu wa Pande, Dar es Salaam.
Mbele ya Jaji wa Mahakama ya Rufani, Salim Massati, jana Rajab alidai kuwa alishuhudia askari mwenzake Koplo Saad akimpiga risasi mmoja wa watuhumiwa Januari 14, 2006. more.

Lipumba - "Mengi anajipendekeza kwa JK"

Tangu Mwenyekigoda atamke hadharani au aamue kuliita jembe ni jembe kwa kutaja majina ya anaowaita"Mafisadi MAPAPA" watu mbali mbali wamekuwa wakitoa maoni yao kuhusiana na hatua hiyo ya Bw. RM.
Leo hi Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, amesema kitendo cha Mwenyekiti wa IPP, Reginald Mengi kutaja wafanyabiashara na viongozi watano wenye asili ya kiasia kuwa ndio mafisadi papa na kumsifia Rais Jakaya Kikwete, ni ubaguzi na kujipendekeza kwa Rais.
Mwanasiasa huyo alisema kauli hiyo ya Mengi, haisadii katika vita dhidi ya rushwa, badala yake anacheza karata ya ubaguzi wa rangi wakati tatizo la ufisadi limetokana na mfumo wa kutokuwa wawazi kwenye uamuzi. pata zaidi

April 27, 2009

Ohoooo nini tena kitimoto????

Warnings as swine virus spreads
A top European Union official has warned against travel to areas hit by an outbreak of swine flu, amid growing concern over the spread of the virus.
Experts suspect it has killed more than 100 people in Mexico. Cases have also been found in Canada, the US and on Monday in Spain.
MAFUA YA KITIMOTO YANALETA BALAA HUKO MAJUU TUJIADHALI WADAU.

April 26, 2009

Mkesha wa MUUNGANO

Mgeni Rasmi Makamu wa Rais Dr Shein na Mama Mwema wakikaribishwa na Mkuu wa Mkoa Dar William Lukuvi.
Taarabu Asilia toka Zanzibar
Zanzibar Morden Tarabu pia walikuwepo
Fashifashi or Fire Works zilianikiza anga kwa dakika kadhaaa

April 25, 2009

Chakachaka amchezesha gwaride Afande

Balozi wa Mapambano na Ugonjwa wa Malaria Barani Afrika Mwanamuziki toka bondeni Vyonne Chakachaka akimhamaisha askari polisi kucheza muziki wakati alipotumbuiza kwenye maadhiisho ya siku ya malaria duniani yaliyofanyika kitaifa kwenye uwanja wa uhuru mjini Mtwara.

JK "Bungeni" Botswana

Rais JK akiwa na mwenyeji wake rais wa Botswana Luteni Generali Seretse Khama Ian Khama wakiwa chini ya mti ambao hutumika na wazee wa jadi wa botswana kwa ajili ya kupanga na kutoa maamuzi mballimbali katika jamii yao ijulikanayo kama Kgotla (bunge), na msosi maalumu wa nyama ya kuponda ya asili iitwayo Setswa, ambayo hupikwa na kuliwa na wanaume pekee.(aliyekaa kulia kwa rais ni kgosi au chifu tawana moremi na aliyekaa kushoto kwa jenerali khama ni naibu waziri wa botswana mhesh. G. Matlahabaphiri.)

WANAMICHEZO BORA 2008 WATUZWA

Mshindi wa jumla mwanariadha mdogo kuliko wote Mary Naali akitoa neno la shukurani.
Maafisa wa Mabenki Hocye Temu (Standard Chtrd) na Shyrose (NMB) walikuwepo kushuhudia.
Wanamichezo bora 2008
Meneja Uhusiano TBL Maneno Mbegu akimkabidhi Chuji kombe na Cashhh
Mwenyekiti wa BMT Col Idd Kipingu akikabidhi kikombe kwa Binti wa Marehemu Grace Daudi (al maarufu sister) Angela Paulo.

April 24, 2009

Kabuye atunaye tena1!

ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa Biharamuro Magharibi, kwa tiketi ya Chama cha Tanzania Labour (TLP), Phares Kabuye amekufa katika ajali ya basi iliyotokea leo hii mkoani Morogoro.
Kabuye alikuwa akisafiri kwa basi la Kampuni ya RS Investment lenye namba za usajili T 934 ADA aina ya Scania akitoka mkoani Kagera kwenda Dar es Salaam kuhudhuria mkutano mkuu wa TLP kesho.
Ingawa Kamanda wa Polisi , Mkoa wa Morogoro, Thobias Andengenye hakuthibitisha kifo cha mbunge huyo wa zamani aliyevuliwa ubunge na Mahakama Kuu, lakini Mwenyekiti wa TLP Taifa, Augustino Mrema alilithibitishia gazeti hili kuwa amekufa. Mkuu wa Wilaya ya Kilosa , Halima Dendegu, alitembelea majeruhi.
“Kabuye hatunaye tena. Nimepata pigo. Nimeongea kwa simu na motto wake aliyeko Mwanza. Sasa hivi tunatafuta simu ya motto wake aliyeko hapa Dar es Salaam tujue cha kufanya,” alisema Mrema.

Huku ni kujitoa Mhanga kwataka MOYO!!

MAPAPA YA RUSHWA HAYA HAPA - MENGI
IPP Limited Executive Chairman Reginald Mengi yesterday named five people he described as ``notoriously corrupt sharks``.
``Tanzanians should know that people who are being accused of being corrupt in our country do not exceed ten, and out of the ten, five are being accused of being notoriously corrupt - ``corrupt sharks``.
``These are: Rostam Aziz, Tanil Somaiya, Yusuf Manji, Jeethu Patel and Subash Patel".
These people are being accused of stealing billions of public money, and to make this worse, the billions have been transferred out of the country.
``These notoriously corrupt people are involved in almost all scandals that have happened in our country, including those concerning Richmond, EPA, Dowans, Army helicopters and vehicles, the Presidential Jet, Radar, NSSF, PSPF, National Lottery etc, etc.
Source: Guardian

April 23, 2009

ITAKUWAJE SIKU TAMASHA HILI LIKIINGIA BONGO??

Wabongo tu wataalamu sana wa kuiga, tuna vitu vingi sana tumeiga hata havina manufaa ya kuonekana kwa taifa letu lakini najiuliza itakuwa siku nasi tutapowaiga Japan kwa TAMASHA hili??????
Wanasema wanatumia TAMASHA hili kuomba mavuno zaidi. je nasi hatuitaji mavuno mengi??? tembelea na hapa ujionee

What happens at the Hounen Matsuri Festival?

The festival is deeply rooted in Japanese folklore. It began as an appeal to the gods for a fruitful harvest. March 15th marks the beginning of spring, a time of rebirth and growth. \
On this day, locals dressed in Buddhist robes carry floats through the centre of town praying for a good harvest and childbirth. The main float consists of a two and a half metre wooden phallus, which is carried from one shrine to another. In the Shinto belief, newly made objects flow with life, thus a new phallus is carved every year from a Japanese cypress tree. It is a gift to the female deity of agricultural fertility, Tamahime-no-mikoyo. The float is carried by men all aged 42. This age is considered unlucky for men, a superstition rooted in Chinese culture. Carrying the gift to the agricultural deity is believed to consecrate the men of that hapless age.

April 22, 2009

UMATI WAFURIKA KUNG'OA MBEGU ZAO

Sehemu ya UMATI uliojitokeza kijiandikisha ili kung'oa mbegu.
Kulingana na mkataba au sheria waliojiwekea DECI na washiriki wao ilikuwa na hatua tatu, yaani
  1. Kupanda
  2. Kuvuna
  3. Kupanda Milleleeee au kurejesha mbegu shambani.

Sasa kuna ama kung'oa au mbegu kuoza mileleeeeee

MAMA MKUTANONI

Mama amependeza jamani!
Mama Salma Kikwete akiwa na Mke wa Waziri Mkuu wa UK Sarah Brown ktk mkutano wa wake za marais huko USA.

DENSI LA DECI MAELEZO

ilibidi mkutano ufanyike nje.
" Sasa nitafikishia wapi ujumbe wangu?"
"kweli bora tutoke"
"Hatunyamazi bora tutoke"
Afisa mwingine aingilia kati kumtuliza mmoja wa washiriki Mch Temba.
Mabishano kidogo,
Afisa Habari akimtaka kufuta kauli na kufuata press release yake.
a
Alianza vyema akiwa na mwenyekiti wa wastaafu wa EAC
Leo ilikuwa ni patashika pale MAELEZO baada ya anayejiita mwenyekiti wa kamati ya dharura ya washiriki DECI Isaac Kalenge kusema kuwa Pinda karopoka, alitakiwa na uongozi TIS kufuta kauli yake lakini hakuwa tayari ilibidi mkutano uishie hapo na kuamia nje ya ofisi za idarahiyo.

MREMA ANACHEZA RAFU?

Mgombea uenyekigoda wa TLP Joram Kinanda akiwa na mwenyekiti wa Kamati ya Wanachama wa Kunusuru TLP Macmillan Lymo akiwaonesha orodha ya wajumbe feki 42 kati ya 80 wa NEC ambao walishiriki ktk kikao ambacho pia kilimtimua Mutungirei hivi karibuni. WAH. hawa wanadai kuwa Mrema huwa anachukua wasukuma mikokoteni pale Manzese wakti wowote na kuwaita ni wajumbe wa NEC au mkutano na pia ni kuwa hata katiba anatengeneza yeye mwenyewe.
Ktk uchaguzi huu unaokaribia inadaiwa kaarika wajumbe 163 tu kati ya 1200 wa mkutano mkuu na kuandaa morani wapatao 300 kudhibiti atakaye taka kujipeleka huko mkutanoni pasi kuitwa.
Habari ndo hiyo

CRDB KUUZA HISA MIL 125

Mwenyekiti wa Board Martin Mmari (kati) akizindua uuzaji hisa Mil 125 huku Mkurugenzi Dr Charles Kimei na Naibu Mkurugenzi Jens Ole Pedersen wakishuhudia.
Benki ya CRDB PLC imeanza kuuza hisa zake zipatazo Milioni 125 kwa dhamani ya au bei ya kutupwa ya Shs 150 kwa kila hisa moja kuanzia Trh 20 mpaka 8 Mei kabla ya kujiandikisha rasmi DSE hapo Mwezi Juni.

ZAIN NA KENGERE NYEUSI

Zain imezindua huduma ya Blackberry (Kengere Nyeusi) kwa wateja wake wa malipo kabla pia,
Pichani Kaimu Mkurugenzi wa Masoko Kelvin Twissa na Meneja Uhusiano Beatrice Malya Singano wakionesha aina hizo za simu zenye huduma zote za kisasa bila kukosa mtandao wa nguvu na zaidi waweza kuimiliki bure ikiwa unaweza kuwa walipia au watumia muda wa maongezi usiopungua TZS 35, 000/- tu.

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...