Hongera Asah A. Mwambene (41) kwa kuteuliwa kushika wadhifa wa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), hii ni nafasi kubwa na muhimu kwa taifa letu na zaidi katika tasnia ya habari.
Mh Rais Jakaya Kikwete ameakuamini sana hata kukuteua kuongoza idara hii nyeti katika kipindi zama hizi za taarifa ama Information Age ktk karne hii ya mawasiliano ya Sayansi na Teknologia, bila shaka unazo sifa na weledi kuongoza idara hii, japo ina changamoto nyingi, sote wanahabari twajua, tumia weledi, elimu, maarifa na zaidi busara katika si tu kuongoza bali pia kuibadili iendane na wakati tuliomo.
Hizi ni Zama za Taarifa na sote twajua "Information is Power", ushauri wangu ni mdogo sana, ifanye idara hii iendene na wakati, najua umesafiri sana nje ya nchi na kupata nafasi ya kujionea jinsi idara kama hizi katika nchi za wenzetu zinavyofanya kazi, kisasa zaidi, kitaaluma zaidi, na kiufanisi zaidi, zaidi ya yote kwa muda muafaka, kwani uzito wa habari ni muda.
Nafasi yako sasa ni ya kiutawala zaidi, si vibaya ukawa mwanafunzi wa gwiji wa mambo ya utawala, John Maxwell, ameandika na kuotoa vitabu na machapisho mengi sana juu ya LEADERSHIP, pata nakala kadhaa, sina shaka zitakufanya kuwa mtawala bora, kila la kheri katika wadhifa wako mpya.
Rwebangira Blog.
Subscribe to:
Posts (Atom)
Arts n' Photo sildes
"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION
Future Stars!
Some of published work
RIGHT TO BE RICH
Popular Posts
-
Chakula chapikwa karibu kabisa na vyoo vilivyo kulia. KABLA YA KUINGIA CAFETERIA WAKUTANA NA VITUUZI MLANGONI. BAFUNI NAKO NI BALAA. NA H...
-
Kumbe tuna utalii wa aina nyingi sana Tanzania!! mpaka huu nao? Waliingizia taifa dola ngapi? Women seeking beach boys ...
-
Prof Aloysius Mwessa Hnonoli ni Mbongo wa kwanza kuwa Mkurugenzi wa Muhimbili na Mkuu wa Chuo kikuu cha Tiba. Mstaafu huyu jana alitu...
-
Nimekuta ubishi paala fulani tena kwa watu naweza sema ni waelewa kiasi fulani maana wameenda shule na wengine wako katika fani, ati ile ho...
-
WADAU NADHANI SI VIBAYA SIKU MOJA MOJA TUKAPANUA MAWAZO KIDOGO NDO NAMNA YA KUELIMISHANA KUPITIA NJIA HII. HIKI ni kijiji kipo hapa bo...
-
Shibe inapoua kuliko njaa Obesity kills more people than hunger Most of the world's populations live in countries where overweight a...
-
The Himba are an ethnic group of about 20,000 to 50,000 people living in northern Namibia, in the Kunene region (formerly K...
-
Mineral occurrence in Tanzania by TMAA UONGEZAJI WA PATO LA MTANZANIA Mheshimiwa Spika, 46. Lengo la Dir...
-
Kina dada wengi hivi sasa imekuwa ni kawaida kwenye kila shughuri hasa za usiku kukuta wamevaa nguo fupi, wengi wanasema ni fashion...
-
Ukumbi huko nyuma ya Minara miwili ukiwa ni wa mviringo. Eneoe kubwa la chai na ukaguzi pamoja na usajili kwa waalikwa. Sehemu za waa...