January 6, 2011

Makamu yu mapumzikoni Serengeti park

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Mohamed Gharib Bilal kulia, akizungumza na Mmiliki Mkuu wa Mahoteli ya Kempinski Bw. Al-Bwardy Ali mwenye Makao yake Nchini Dubai, alipokutana nae leo kwenye Hoteli ya Bilila Lodge Kempinski iliyopo katika Hifadhi ya Taifa ya Mbuga za Wanyama Serengeti. Makamu wa Rais yupo katika Hifadhi ya Taifa ya Mbuga za Wanyama Serengeti kwa ajili ya mapumziko mafupi.

(picha na VPO.)

Arts n' Photo sildes

"SILENT VOICES" PHOTO EXHIBITION

Future Stars!

Some of published work

RIGHT TO BE RICH

RIGHT TO BE RICH
The ownership of money and property comes as a result of doing things in a certain way, and those who do things in this certain way — whether on purpose or accidentally — get rich, while those who do not do things in this certain way — no matter how hard they work or how able they are — remain poor. WDW Do things in RIGHT way now, but how? Call: +255716927070/+255784475576

Popular Posts

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...